Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wale tunaosubiria placements, tunaosubiria interview mwaka naona ndo unaisha kibishi namna huu.. So hapa Hadi mwakani tu 2023...
January 2023 naona kutakuwa na saili nyingi sana kwa hizi received zilizojaa kwenye account za watu
 
Weee usinambie[emoji23][emoji23][emoji23], ila hili swala la Wizy linachekesha

Hahahaha! Mimi naamini wizy itakuwa alipata kazi ila pengine alihofia akikiri amepata kwa nature ya nafasi aliyoomba ingekuwa rahisi ID yake ya Jf kujulikana yeye ni nani. Kwa hiyo ikamlazimu aikimbie ID kwa kulinda utambulisho wake.
 
Kula maisha mkuu ndani ya mrija wa Asali.

Sisi ngoja tuendelee kusugua bench, siku yetu ikifika tutaingia pia kwenye mrija kama wewe, ila mimi sitakimbia/jificha kama wewe.

Hahahahaha! Mkuu, je uko tayari tukujue utambulisho wako halisi?

Ile nafasi ya NAOT inahitaji mtu mmoja tu, na endapo ukapata kazi maana yake watu tutajua moja kwa moja kwamba Mwifwa huyu majina yake halisi ni yale yanayo onekana kwenye placement.

Hii ni nafasi adhimu ya watu wanaokujua kukufuatilia vizuri maisha yako ya Jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…