Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Comments km hizi zinatupa moyo sisi jobless[emoji16]ubarikiwe.
 
Me nipo sana tu, nimeshazoea kusoma text zote humu, ni kama nimekuwa addicted vile
 
Wadau . Hv Yale makolokolo mengine wanayotaka tujaze kwenye portal kama unayo mfano.. Muombaji kama uliwahi kusoma shortcourse like Computer.. na training Mbalimbali. So ukipachika kule kwenye mfumo ziko na Advantages yoyote ya kupata mrija wa Asali..?
 
kuna hii kozi ya bachelor of science in social protection....hii mpaka kuna mbunge aliigusia bungeni...ajira zake adimu sana. Kusomesha watu halafu mfumo wa ajira hauwatambui ni kazi.
Namshkur mungu hlo nililiona mapema sana mpaka nikaondoa hiyo program kwenye machaguo yangy Pale IFM
 
Hapana, hayana msaada wowote ila unaweza kuweka tu for your own privilege
 
Hakuna Advantage yeyote zile ni mbwembwe tuu
 
Mkuu niweke na mm kwenye list maana nimfuatiliaji mzuri wa Uzi
#Jobless

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…