mosses15
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 992
- 2,266
Ndio nimemaliza mwaka huu mkuu😆.
Ngoja nitege sikio
Kumbe hata joto la mtaani bado hujakumbana nalo.
Btw! kuwa makini kufatilia matangazo ya Utumishi pamoja na taasisi binafsi, mara kwa mara pitia tovuti za ajira hutakosa kazi za ku apply.