Taasisi gani?Placem...... kaka
Hahaha apa No comment kaka, coz nikitaj tasisi pdf ikitoka ntajulikana kirahis sana kwa nature ya nafasi, na mm napenda privacyTaasisi gani?
Unahofia nini? Mbona sisi wengine watu wanatujua hadi kwenye pdf tunasomeka vipi. Lakini hayo ni maamuzi ya mtu pia.. kila la heri kwenye kusubiri kuvuta mrija wa asali.Hahaha apa No comment kaka, coz nikitaj tasisi pdf ikitoka ntajulikana kirahis sana kwa nature ya nafasi, na mm napenda privacy
Ukweli ni kwamba kama ningekuja umu na nikapokelewa kama any normal new ID. Leo ninge mention taasis nayo isubiri, but pressure niliopokea ya kufananishwa na wizy imenipa uwoga kidogo na sijui kijana alikutwa na nn sometime ata kufananishwa nae huwez jua kuna weza ni gharimu pia , naona ni better niwe na privacy kwa ii situation nilioikuta.Unahofia nini? Mbona sisi wengine watu wanatujua hadi kwenye pdf tunasomeka vipi. Lakini hayo ni maamuzi ya mtu pia.. kila la heri kwenye kusubiri kuvuta mrija wa asali.
Ahaa poa kaka usijali hata nini, endelea kuvuta subira na kuomba Mungu uingie mrijani. Karibu pia katika Uzi wetu pendwa ambao una historia ndefu na nzuri.Ukweli ni kwamba kama ningekuja umu na nikapokelewa kama any normal new ID. Leo ninge mention taasis nayo isubiri, but pressure niliopokea ya kufananishwa na wizy imenipa uwoga kidogo na sijui kijana alikutwa na nn sometime ata kufananishwa nae huwez jua kuna weza ni gharimu pia , naona ni better niwe na privacy kwa ii situation nilioikuta.
Asante sana kaka, ngoja niwe na subra.Ahaa poa kaka usijali hata nini, endelea kuvuta subira na kuomba Mungu uingie mrijani. Karibu pia katika Uzi wetu pendwa ambao una historia ndefu na nzuri.
Sawa, kula maisha mkuu.kuja na ID ya wizy nikama kufata barua utumishi na jina kwenye pdf halipo.
Unajua wizy alikuwa kivutio sana Kwa watu kwenye huu Uzi.Placement zitoke tu jobless wakikosa cha kuandika wanarudi kwa mwamba @wkingz😂😂😂
Kweli kaka uyu mtu wa pdf angejua tabu nazopitia, angetoa ka pdf kamoja watu waniache kidogo, nimejitaid juzi na jana nisi mention ata jina wizy watu wanisahau lakin wap watu wananiandama tu.Placement zitoke tu jobless wakikosa cha kuandika wanarudi kwa mwamba @wkingz😂😂😂
Mdau wa humu huyo lazima tumseme, atake asitake.Placement zitoke tu jobless wakikosa cha kuandika wanarudi kwa mwamba @wkingz[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu kama mwifwa kwenye normal life pia inaonekana huwa huelew,Sawa, kula maisha mkuu.
Usisahau Subaru pia, tumeiimba sana humu
Kijana kama huyu huwa haelew kabisa nahisi hadi maisha halisi ya kitaa mwamba ni mgumu kuelewa. JAMAN MM SIO WIZYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYSawa, kula maisha mkuu.
Usisahau Subaru pia, tumeiimba sana humu
Yeye kashapata pale ORCI, kaamua tu kukimbia(kuacha ID ya wizy na kuja kwa ID nyingine).Unajua wizy alikuwa kivutio sana Kwa watu kwenye huu Uzi.
Alikuwa muumini mzuri wa status, na alikuwa akiamini status zina maana. Sasa siku placement aliyokuwa anaisubiria inatoka, watu walitamani kujua mrejesho wa status. Baada tu ya ile placement akapotea ghafla na hadi leo hajarudi tena.
Binafsi namkumbuka sana mwamba wizy coz alinipa sana moyo, nilipoonyesha tu wasiwasi aliniambia wewe iyo kazi yako andaa suti ya kwenda kuchukua barua Dom. Nilitamani nayeye angekuwa amepata mzee wa baba Jeni bye bye...
Hahahaha ila Wizy alikua na upumbavu mwingi sana sijajua umri wake ila nahisi alikua early twenties utoto ulikua mwingi sana. Baba Jeni Bye byeUnajua wizy alikuwa kivutio sana Kwa watu kwenye huu Uzi.
Alikuwa muumini mzuri wa status, na alikuwa akiamini status zina maana. Sasa siku placement aliyokuwa anaisubiria inatoka, watu walitamani kujua mrejesho wa status. Baada tu ya ile placement akapotea ghafla na hadi leo hajarudi tena.
Binafsi namkumbuka sana mwamba wizy coz alinipa sana moyo, nilipoonyesha tu wasiwasi aliniambia wewe iyo kazi yako andaa suti ya kwenda kuchukua barua Dom. Nilitamani nayeye angekuwa amepata mzee wa baba Jeni bye bye...
Sasa unataka niite koleo/sepetu kijiko kikubwa?Mtu kama mwifwa kwenye normal life pia inaonekana huwa huelew,
Kijana kama huyu huwa haelew kabisa nahisi hadi maisha halisi ya kitaa mwamba ni mgumu kuelewa. JAMAN MM SIO WIZYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYY
Usikae tamaa ipo siku tutapata.Unaweza kua unajua ila pepa za utumishi zikakufanya uonekane hujui kwa sababu ya umakini kweli mimi ni wa kushindwa kujiongeza ili uweze kuaccess server lazima uwe na network zaidi ya masaa mawili
Nilitaman sana kuajiriwa TRA ila ndo hivyo jahazi la matumani ndo linazama bye wazeee sitajihusisha na huu uzi tena .
Una uhakika gani kapata? Mimi na uhakika kama angepata angekuwa humu, tena kwa furaha. Mimi nahisi alikosa ndio kwa akaona bora hata asije tenaYeye kashapata pale ORCI, kaamua tu kukimbia(kuacha ID ya wizy na kuja kwa ID nyingine).
Hahaaa mwamba sana wizy ebu uje huku kwanzaHahahaha ila Wizy alikua na upumbavu mwingi sana sijajua umri wake ila nahisi alikua early twenties utoto ulikua mwingi sana. Baba Jeni Bye bye
Yeah kama wameweza kusema wana uhakika mim ni wizy 100% sijui kama watakuelewa ukisema hajapata.Una uhakika gani kapata? Mimi na uhakika kama angepata angekuwa humu, tena kwa furaha. Mimi nahisi alikosa ndio kwa akaona bora hata asije tena