Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwenye uzi wa kimasihara sijawahi kuchangia kwa kutoa kisa kwani sina hicho kisa zaidi tu nilikuwa nachangia kufurahishwa na hivyo visa.

Nina muda mrefu sana sijatia mguu kwenye ule uzi pamoja na kuoona ukiwa unatrend mara kwa mara

Sawa Prof.
 

Hahahahaha! Sawa Professor.
 
Nimeulizwa swali nikashindwa kulijibu, naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie.

Hivi kwa wale waliosoma bachelor zaidi ya moja na zinazoingia kwenye category tofauti wanawezaje kuruhusiwa kufanya maombi kwa nafasi za pande zote mbili?

Kwa mfano, mtu ana degree ya Journalism na nyingine ya Accountancy, je anawezaje kuwa na nafasi ya kuomba kazi za aina zote mbili?

Au ni mwanasheria na ana CPA, je anaweza vipi kuomba za sheria na za uhasibu?
 

Ndugu mwanasheria wa uzi Professor Mwifwa, na wengine wote akiwemo @Prok tunaomba ufafanuzi.
 
Siwez tumia nguvu kuelezea mm sio yey coz ww upo kwenye situation ya msemo hu.

""Ears that do not listen to advice, accompany the head when it is chopped off”.

Endelea kusubiri, Hakika mwenyezi mungu yu pamoja na wenye kusubiri.
Simple logic ni kuwa(pamoja na kuwa ushatambulika) kama usingekuwa wewe(wizy) usingehangaika kujitetea na wala usingehangaika kudokeza mambo aliyokuwa anayapenda kuyasema humu huyo wizy(wewe).

Logic kiformula iko hivi:

F + F = T (Tulisoma kwenye Addition Maths(Olevel) na BAM(Advance), wale wa Pure Maths huwa wanaisoma kwa undani zaidi)

Uongo ukirudiwa mara nyingi unakuwa ukweli, sasa wewe umejaribu kutuongopea kwa nguvu zote kuwa sio wizy, ila tayari tushatambua wewe ni wizy.
 
“One falsehood spoils a thousand truths"





Jitathimini....
 
Ndugu mwanasheria wa uzi Professor Mwifwa, na wengine wote akiwemo @Prok tunaomba ufafanuzi.
Ishu ni system tu, je inaruhusu kujaza hizo degree za kwanza zote 2 tofauti?

Maana post ikiletwa hiyo system ya PSRS huwa inadetect qualification ulizojaza kama zinaendana na zilizoandikwa kwenye post.

Mara nyingi equavalent qualification zilikuwa zinazingua sana kutokana na system kutodetect hizo sifa.

Pia nimekumbuka kuna mtu alikuwa anadegree halafu amesoma udereva na ana cheti cha NIT, sasa alitaka aombe nafasi za udereva, niliona kashauriwa afute sifa za taaluma nyingine ili aweke sifa za udereva pekee ndipo aweze kuomba nafasi ya udereva. Kwa mantiki hiyo kama system inakubali sifa tofauti huyo jamaa asingehangaika kufuta hizo sifa za degree ili abakishe sifa za udereva.

Nimewaza hivi, wengine wajazie nyama
 

Duh! Hii ni hatari sasa. Sawa Mkuu, asante sana.
 

Humu asilimia kubwa wanaosubiri placememt, ratio ndio hyo 1:3.

Ni post chache sana kama za Tra kwa watu wa ICT kama sijakosea ndio ratio ni 1:1 .

Kwenye hii thread hatufichani taarifa kama hizo, muhimu ni kuweza kusaidiana na kupeana moyo ili wote tuweze kutoboa mkuu.
 
Kaka mbona mzito kuelewa embu pitia iyo text yote tena kwa mara ya pili,
 

Kwa ninavyofahamu mimi,

Kama uta attarch hivyo vyeti kwenye Account yako ya PSRS/ Ajira portal utapewa access ya kuweza kuapply ajira zote kulingana na hizo degree zako za taaluma tofauti.

Lakini, mfano ulianza na diploma ya degree fulani, mfano ya Journalism then ukafanikiwa kupata degree ya Journalism. Hapo cheti utakachoambatanisha kweny account ndio kitakupa access ya kuomba kazi.

Ukiambatanisha diploma ya Journalism, tambua kua nafasi za degree hazitakuhusu, na ukiweka cha degree tambua kuwa nafasi za diploma ndio bye bye. Hii wameweka ili kuzuia watu kuomba multiple posts.

Pia, hata kwa taasisis moja huwezi omba kazi kwa post zaidi ya moja hata kama zote sifa unazo. Mfano kwa TRA , Tax mgt Officers II na Customs Mgt Officers II vigezo vinafanana ila ukiomba zote nafasi moja inakuwa pending.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…