Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Halafu Kuna ID huu zinapenda sana kulike comments za watu.. Binafsi hiz like sizipendi za zinachosha we ukisoma pita kimyakimya maana tunajaziana tu manotification dadeq..
Sitaki like nimemaindi..
Soma upite kushoto[emoji2]
Mimi utanisamehe, like kwenye huu uzi lazima nitupie ili nikujuze kuwa nishapita.

Nyuzi zingine natoa like kwa kupenda tu na zingine sitoa kabisa
 
Mimi utanisamehe, like kwenye huu uzi lazima nitupie ili nikujuze kuwa nishapita.

Nyuzi zingine natoa like kwa kupenda tu na zingine sitoa kabisa
Mkuu kuhusu ule mrejesho:

Mwajiri alimpokea ndugu yangu, kumbe ile nafasi hakuna mtu aliyeenda kuijaza. Wakamwabia aende PSPR

Kufika kule uongozi ukawasiliana wakakubali akajaze nafasi, leo anaenda kuripoti kituo cha kazi.

Kiukweli wamefanya fair sana, ila pia hii ni kutokana hakuna mtu aliyeripoti kwenye ile nafasi.
 
Nazani ni kwamba ukifika passmark written juu ya 50 na hukuchaguliwa kwenda oral unakutana na "" not selected for oral""" mtu
alie piga paper akapata 75 na hakuchaguliwa oral huwezi mwandikia "" not selected for null"" with red.

Na ukifanya written na hukufanikiwa kufika 50 unakutana "" not selected for null""🀣🀣🀣

Na ukifanya oral na hukufanikiwa kufikia passmark unakutana na """ not selected for null"""

NB
Uu ni mtazamo wangu so sio lazima iwe kweli ni kitu ambacho nakifanyia tafit so haija thibitishwa ipo hivo ila naisi ndo ivo.
Watu wa cuba wamenielewa.
 
Wenye practical na wakafika oral inaandika selected for oral na si selected for null,,, kwenye app. Mm naiona hivyo mliofanya practicals vp na kwenu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…