Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Andaa affidavit kuaddress hiyo shida, ama deed poll, sanasana vyeti vya kuzaliwa uwa na majina matatu, na vya shule majina mawili au initial ya jina la kati na hayo mawili, sasa hayo ya kwenye vyeti mawili yafananie na ya kwenye vyeti vingine hapo Utumishi wanakubali, lakin naona scenario yako kuna majina hayapo kabisa kwenye some documents na kwingine yapo. Hapo affidavit itakuhusu
 
Ahsante kwa muongozo, sikujua hiyo tofauti, sasa nimejua. Najivunia uwepo wako humu napata mawili matatu
Karibu kaka, yaan ata wewe ukitaka badilisha leo from Mwifwa dunia nzima ikujue kama Maryjuan unaruhusiwa, ili mradi uweke sababu tu ya kufanya hivyo sio unajibadilishia badilishia tu
 
Yes, wale jamaa wa utumishi wakishakataa wamekataa, utalia utaamka watakataa tu, kwa hiyo mimi uwa nashauri ili uwe on the safe side ni bora tu uwe na deed poll. Tena ukianza waelezea kisheria hivi kisheria vile ndo wanaona kama unawapanda kichwan, the other day nlitaman kulia kwa ajili ya rafiki angu
 
Nashukuru sana PGO
Ngoja nilifanyie kazi

Maana mimi hata sielewi ilikuaje lkn ndio hivyo cheti changu cha kuzaliwa kina majina manne

Na shuleni tangu nikiwa vidudu nilikuwa natumia majina matatu kama nilivyosema sema awal
 
Nimeangalia Kanda zote hakuna jina, nipo mkoani kwa hiyo ni vigumu labda kama kuna namna nyingineya kuwasiliana nao.
 

Ulitumia address ya mkoa gani?.
Kama hukuweka address yako angalia matangazo ya kanda zote na hasa kanda ya Dodoma ndio huwa wanawaweka wasioweka address zao.
 
selected for oral. yaani imeganda ivo ivo. cjui nimekandwa
Wengi waliofanya December wanasema hawajaona mabadiliko Hadi leo.. Subiri kufikia mwezi wa pili(February) oene itakuwaje kabla ya kutoka replacement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…