Mkuu, acha kulaza damu weka kwanza ushuhuda wa status kwanza ili nilale vizuri.. inasemaje huko.Nitawapa mrejesho.
Furaha niliyonayo ni kubwa mno
Tunausubiri mrejesho tujifunze zaidiNitawapa mrejesho.
Furaha niliyonayo ni kubwa mno
Kama nakuona unaangalia PDF mara mbili mbili.Hongera sana Mzee.Mungu ni mwema sana Wakati wote.Asante Mungu, nimetoboa.
Mungu mkubwa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Mungu mkubwa.
Hongera sana MkuuAsante Mungu, nimetoboa.
Mungu mkubwa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Mungu mkubwa.
Wale wa status ni Selected for Oral kwenye web na kwenye App ni selected for Null.Mkuu, acha kulaza damu weka kwanza ushuhuda wa status kwanza ili nilale vizuri.. inasemaje huko.
Usiponijibu utanionea sana mkuu nipe ushuhuda huko uvunguni kwako kwa status nijue
AsanteHongera sana Mkuu
Hongera sana kaka, tuletee shuhuda za status🤣🤣🤣🤣🤣🤣 , ukawe mtumishi mwema.Nitawapa mrejesho.
Furaha niliyonayo ni kubwa mno
Ok.. hapa nimekusoma.. kumbe inabadilika na kuwa "Shortlisted"Wale wa status ni Selected for Oral kwenye web na kwenye App ni selected for Null.
Ilianza selected for oral kwenye web baadae ikabadilika kuwa shortilisted then ikarudi kuwa Selected for Oral.
Sasa ndio naanza kuelewa hizi protocol na huwa inachukua muda gani from selected for oral...to shortlisted kwa makadirioWale wa status ni Selected for Oral kwenye web na kwenye App ni selected for Null.
Ilianza selected for oral kwenye web baadae ikabadilika kuwa shortilisted then ikarudi kuwa Selected for Oral.
Yaaah hapa wasiotaka Status wahame nchi waelekee Burundi, Uncle Mwigulu alishasemaHongera sana kaka, tuletee shuhuda za status🤣🤣🤣🤣🤣🤣 , ukawe mtumishi mwema.
Bado sio sababu mzee.Wale wa status ni Selected for Oral kwenye web na kwenye App ni selected for Null.
Ilianza selected for oral kwenye web baadae ikabadilika kuwa shortilisted then ikarudi kuwa Selected for Oral.
Poleee sana kaka, nafasi yako inakuja, app status yako ilikaaje na ili kuwa kada gani .Bado sio sababu mzee.
Mimi nimepitia mabadiliko kama hayo lkn wapi sijachomoka.
I repeat "one man down"..
Bado pdf moja tu naisubiria ni conclude theories zangu
Me nilichokiona hapo.. ikija hyo shortlisted basi upo ndani ya waliofaulu.. kusu kupata placements hapo inatokana na idadi ya nafasi,, BaaaaaaaasiBado sio sababu mzee.
Mimi nimepitia mabadiliko kama hayo lkn wapi sijachomoka.
I repeat "one man down"..
Bado pdf moja tu naisubiria ni conclude theories zangu
Hahaaa worry out broo.Poleee sana kaka, nafasi yako inakuja, app status yako ilikaaje na ili kuwa kada gani .
Sasa mzee hii adhabu ya kusoma kila pdf ndani ya mwaka mzima unadhani ni ya kitoto..Me nilichokiona hapo.. ikija hyo shortlisted basi upo ndani ya waliofaulu.. kusu kupata placements hapo inatokana na idadi ya nafasi,, Baaaaaaaasi
Naombeni kuuliza, ikitokea utofauti wa jina la cheti cha kuzaliwa likatofautiana herufi moja mfano kwenye cheti cha luzaliwa kuna Jacksoni halafu vya taaruma Jackson.
Je kuna shida yoyote!?