BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Kukosa kazi TRA inauma sana asikwambie mtu, NAOT ni kama halmashauri tu utaanza na 700k tu, ila unaweza kupata Posho za ukaguzi.Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
Hongera sanaa kaka, hakika haikuwa vita nyepesi, na umeipigana bila kurudi nyuma kufanya written 8 sio mchezo. Its ur time enjoy ur hustle.Habari za leo Wakuu.
Jana niliahidi kuleta mrejesho.
Nilifanya written Interview nane ,saba zote sikufika hata oral zote nilikuwa napata namba za viatu , yanane nikafika oral na ndo hii niliyopata placement.
Nilingia kwenye chumba cha wakandaji nikiwa nimevaa kadeti, shati na koti langu vizuri kabisa. Nilipoingia tu ndani nikawasalimia wakandaji wakaitikia then mmoja akasema karibu kiti.
Nilitumia muda mfupi sana nimetoka wadau wanashangaa mbona mapema sana nadhani walijua nimefukuzwa mle ndani😂😂
Baada ya hapo nilijiona mjinga sana maana nimeshindwa kujibu swali moja. Hamu ya kula ilikata kabisa niliona kama nimepoteza nafasi lakin Mungu ndo alijua.
Nimejifunza ili ufanikiwe lazima upite mambo magumu( Rejea wimbo wa Christina Shusho-Dhahabu)
1. Usikate tamaa jipe moyo ipo siku utatoboa bahati huwapata wale wanaojaribu.
2. Ukiitwa kwenye usaili fanya maandalizi haswa. Piga msuli yatima haswa pitia job descriptions zifuatilie moja baada ya nyingine. Saili nyingi za nyuma nilikuwa sijindai vizuri pia nilikuwa sifuatili trends za maswali. Unakuta unasoma research kumbe wameshaacha kutoa research.
3. Omba Mungu yeye ndo anajua ni lini atakupa.
4. Usibanduke kwenye huu Uzi. Jamii forums ni kila kitu imagine nimeanza kufuatilia huu uzi mwezi wa 10 nikapata hints kibao nikafufua matumani , mwezi wa 10 huo huo nikatoboa oral kwa mara ya kwanza. Hata uwe kipanga au kenge namna gani bila kujua trends na namna ya kujibu maswali kutoboa ningumu.
Natoa shukrani zangu za dhati kwa wadau wote wa uzi huu (Mwifa, Wizy a.k.a Wkingz mzee wa status😂😂 na wengine wote) kwa michango yenu .
N.B: Mtoto wa masikini kabisa ametoboa bila connection acha kulalamika inawezekana.
Nilivyofurahi mimi wife amefurahi mara 10 yake🤣🤣🤣
Upendeleo haukosekaniUnapofanya usahili wa kuandika na kufaulu ktk stutus yako utaandikiwa "SELECTED FOR oral" ya kijani.
Baada ya kufanya oral na kupata alama zinazotakiwa utaandikiwa kulingana na ufaulu. Kama umefaulu inavyotakiwa na baada ya process kadhaa kufanyika utaandikiwa "SELECTED" ya kijani 'for oral na maneno mengine yatabaki black color.
Ikiwa utaandikiwa 'SHORTLISTED' then SELECTED FOR oral, maana yake na wewe ulifaulu passmark zinazotakiwa ila utalinganishwa na wale waliopo kanzi data/mliolingana passmark hivyo 'vigezo vya ziada' vinatumika kuchambua nani apate kazi na nani aachwe kwenye kanzi data.
Kwenye App "SELECTED FOR null" ni kwa wale wote waliopata passmark stahili za kupata kazi au kanzi data kulingana na ushindani wa kada husika. Ikiwa "NOT SELECTED FOR null" hapa muhusika amefeli oral moja kwa moja na kanzi data hayupo.
Wenye mabadiliko hayo wote Wana asilimia kubwa ya kupata Kazi na asilimia ya kutopata na kubakia kanzi data.
Endeleeni kupambana vijana, hamna upendeleo.
Hongera sanaaa, sanaaa umeimaliza vita.Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
Hongera sana kaka, hakika mtafutaji lazima apate, ukawe mtumishi boraaaa.Kwa kweli Hatimaye Placement Nilio isubiri imefika itoshe tu kusema utumishi nimewanyoosha
Oa mkuu🤣🤣🤣Afu inaonekana wanaotoboa sana wanakua waneoa au wana watoto
Asee itabidi nifanye hivyoOa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hongera sanaNami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
[emoji38][emoji1787][emoji38][emoji38]sijui nacheka niniLakin seems like umepata[emoji848],hongera in advance[emoji2]
Hakika ww utakuwa mkandaji sio bureee, kuna kitu kipya tumepata hapa"" kuna selected for oral za aina 2""Unapofanya usahili wa kuandika na kufaulu ktk stutus yako utaandikiwa "SELECTED FOR oral" ya kijani.
Baada ya kufanya oral na kupata alama zinazotakiwa utaandikiwa kulingana na ufaulu. Kama umefaulu inavyotakiwa na baada ya process kadhaa kufanyika utaandikiwa "SELECTED" ya kijani 'for oral na maneno mengine yatabaki black color.
Ikiwa utaandikiwa 'SHORTLISTED' then SELECTED FOR oral, maana yake na wewe ulifaulu passmark zinazotakiwa ila utalinganishwa na wale waliopo kanzi data/mliolingana passmark hivyo 'vigezo vya ziada' vinatumika kuchambua nani apate kazi na nani aachwe kwenye kanzi data.
Kwenye App "SELECTED FOR null" ni kwa wale wote waliopata passmark stahili za kupata kazi au kanzi data kulingana na ushindani wa kada husika. Ikiwa "NOT SELECTED FOR null" hapa muhusika amefeli oral moja kwa moja na kanzi data hayupo.
Wenye mabadiliko hayo wote Wana asilimia kubwa ya kupata Kazi na asilimia ya kutopata na kubakia kanzi data.
Endeleeni kupambana vijana, hamna upendeleo.
Hongera sana "bro" hakika umepambana. Nimeamua kufuata trend hiii, sitajihusisha na mambo ya status, ni pdf.Wale waumini wa Status, status yangu inasomeka hivi(nimeikopy kwenye web)
SELECTED FOR Oral InterviewInterview No:
PSRS/22/4136/033
Employer: Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT)
Ila we mwamba🤣🤣🤣🙌🙌Hakika ww utakuwa mkandaji sio bureee, kuna kitu kipya tumepata hapa"" kuna selected for oral za aina 2""
Ya kwanza amabyo yote ni ya kijani after written.
Na ya pili ambayo ni only "" selected"" ndo kijani the rest words are black in colour. Baada ya oral.
Ambaye amawai kuiona "" selected for oral ya kijani after written""" please share with us picha, so we can differentiate the two.
Hahahahhaa huna io picha u share hapa.Ila we mwamba🤣🤣🤣🙌🙌
Hahaha sina kk hahahHahahahhaa huna io picha u share hapa.
Sawa kaka. Au bado na ww sio muumini wa status, tukusajili ili dirisha dogo.Hahaha sina kk hahah