Hapana kk mim sio muumini wa status hahaha lbda nipate ushuhuda kutoka kwa wakandaji wenyeweSawa kaka. Au bado na ww sio muumini wa status, tukusajili ili dirisha dogo.
Ila we mwamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
Hahhahahha sawa,Hapana kk mim sio muumini wa status hahaha lbda nipate ushuhuda kutoka kwa wakandaji wenyewe
Kijamaaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.Iki kijamaa huwa kinafurahisha sana kwa kupenda mambo ya STATUS.
Mkuu tunashukuru sana kwa tge good narration tunatamani kuona nyote mliopata kazi, muje na narration ya aina hii,Habari za leo Wakuu.
Jana niliahidi kuleta mrejesho.
Nilifanya written Interview nane ,saba zote sikufika hata oral zote nilikuwa napata namba za viatu , yanane nikafika oral na ndo hii niliyopata placement.
Nilingia kwenye chumba cha wakandaji nikiwa nimevaa kadeti, shati na koti langu vizuri kabisa. Nilipoingia tu ndani nikawasalimia wakandaji wakaitikia then mmoja akasema karibu kiti.
Nilitumia muda mfupi sana nimetoka wadau wanashangaa mbona mapema sana nadhani walijua nimefukuzwa mle ndani[emoji23][emoji23]
Baada ya hapo nilijiona mjinga sana maana nimeshindwa kujibu swali moja. Hamu ya kula ilikata kabisa niliona kama nimepoteza nafasi lakin Mungu ndo alijua.
Nimejifunza ili ufanikiwe lazima upite mambo magumu( Rejea wimbo wa Christina Shusho-Dhahabu)
1. Usikate tamaa jipe moyo ipo siku utatoboa bahati huwapata wale wanaojaribu.
2. Ukiitwa kwenye usaili fanya maandalizi haswa. Piga msuli yatima haswa pitia job descriptions zifuatilie moja baada ya nyingine. Saili nyingi za nyuma nilikuwa sijindai vizuri pia nilikuwa sifuatili trends za maswali. Unakuta unasoma research kumbe wameshaacha kutoa research.
3. Omba Mungu yeye ndo anajua ni lini atakupa.
4. Usibanduke kwenye huu Uzi. Jamii forums ni kila kitu imagine nimeanza kufuatilia huu uzi mwezi wa 10 nikapata hints kibao nikafufua matumani , mwezi wa 10 huo huo nikatoboa oral kwa mara ya kwanza. Hata uwe kipanga au kenge namna gani bila kujua trends na namna ya kujibu maswali kutoboa ningumu.
Natoa shukrani zangu za dhati kwa wadau wote wa uzi huu (Mwifa, Wizy a.k.a Wkingz mzee wa status[emoji23][emoji23] na wengine wote) kwa michango yenu .
N.B: Mtoto wa masikini kabisa ametoboa bila connection acha kulalamika inawezekana.
Nilivyofurahi mimi wife amefurahi mara 10 yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππMkuu tunashukuru sana kwa tge good narration tunatamani kuona nyote mliopata kazi, muje na narration ya aina hii,
Kiukweli sometimes mtu ukitoka oral mule huwa nguvu zote zinaisha na unajihisi hujui kitu na hakuna ulichojibu lkn kumbe ndio ilikuwa ridhiki hiyo, kupitia humu tunashukuru tunapata moyo na kuona tulioyapitia sio ss wa kwanza au mwisho,,,
Mungu atusaidie tunaosubiria placement next nasi tuwemo tuje tushushe shuhuda...ameeen
Hongera kwa kupita kakaa.πππ
Nashkuru sana kakaHongera sana kaka, hakika mtafutaji lazima apate, ukawe mtumishi boraaaa.
Hongera kwa kupita kaka, mambo sio rahisi hata kidogo.Nashkuru sana kaka
Mungu ni Mwema mkuu hongera sana pia Allah amtupi mja wake umepambana na umepewa hio nafas nakuombea iwe yenye manufaa kwenye maisha yakoHabari za leo Wakuu.
Jana niliahidi kuleta mrejesho.
Nilifanya written Interview nane ,saba zote sikufika hata oral zote nilikuwa napata namba za viatu , yanane nikafika oral na ndo hii niliyopata placement.
Nilingia kwenye chumba cha wakandaji nikiwa nimevaa kadeti, shati na koti langu vizuri kabisa. Nilipoingia tu ndani nikawasalimia wakandaji wakaitikia then mmoja akasema karibu kiti.
Nilitumia muda mfupi sana nimetoka wadau wanashangaa mbona mapema sana nadhani walijua nimefukuzwa mle ndaniππ
Baada ya hapo nilijiona mjinga sana maana nimeshindwa kujibu swali moja. Hamu ya kula ilikata kabisa niliona kama nimepoteza nafasi lakin Mungu ndo alijua.
Nimejifunza ili ufanikiwe lazima upite mambo magumu( Rejea wimbo wa Christina Shusho-Dhahabu)
1. Usikate tamaa jipe moyo ipo siku utatoboa bahati huwapata wale wanaojaribu.
2. Ukiitwa kwenye usaili fanya maandalizi haswa. Piga msuli yatima haswa pitia job descriptions zifuatilie moja baada ya nyingine. Saili nyingi za nyuma nilikuwa sijindai vizuri pia nilikuwa sifuatili trends za maswali. Unakuta unasoma research kumbe wameshaacha kutoa research.
3. Omba Mungu yeye ndo anajua ni lini atakupa.
4. Usibanduke kwenye huu Uzi. Jamii forums ni kila kitu imagine nimeanza kufuatilia huu uzi mwezi wa 10 nikapata hints kibao nikafufua matumani , mwezi wa 10 huo huo nikatoboa oral kwa mara ya kwanza. Hata uwe kipanga au kenge namna gani bila kujua trends na namna ya kujibu maswali kutoboa ningumu.
Natoa shukrani zangu za dhati kwa wadau wote wa uzi huu (Mwifa, Wizy a.k.a Wkingz mzee wa statusππ na wengine wote) kwa michango yenu .
N.B: Mtoto wa masikini kabisa ametoboa bila connection acha kulalamika inawezekana.
Nilivyofurahi mimi wife amefurahi mara 10 yakeπ€£π€£π€£
Kabisa kaka mana ukikata tamaa huwezi kufanikiwaNashkuru sana kaka
Hapa inabidi tupate mrejesho kwa wale ambao bahati mbaya walikosa nafasi za placement, kama unawajua watag watupe feedback[emoji3]Hakika ww utakuwa mkandaji sio bureee, kuna kitu kipya tumepata hapa"" kuna selected for oral za aina 2""
Ya kwanza amabyo yote ni ya kijani after written.
Na ya pili ambayo ni only "" selected"" ndo kijani the rest words are black in colour. Baada ya oral.
Ambaye amawai kuiona "" selected for oral ya kijani after written""" please share with us picha, so we can differentiate the two.
Kada gani mkuu ulifanya..?Peke yangu, kuhusu data base hatuwezi kujua hadi pdf ya database itoke ndipo tutajua na wengine kama walifaulu, hata hivyo najua walifaulu ila suala la kuzidiana alama ndio limechukua mkondo wake
Yap kweli kaka, ila aina haja ya kuwa tag mtu ataye kua na utayar ata share.Hapa inabidi tupate mrejesho kwa wale ambao bahati mbaya walikosa nafasi za placement, kama unawajua watag watupe feedback[emoji3]
πππ Jamaa unawaza placements tuHongereni sana wote mliopata.Hakika Mungu ni mwema sana.
Vipi huko hamna placement iliyotoka Tena Leo???
πππππPresha inapanda presha inashuka.Si unajua tena kusubiri placements kulivyo.....Unatamani ujue tu kama upo au haumo mapambano yaendelee.πππ Jamaa unawaza placements tu
ivi kuna " selected for oral " ya rangi ya kijani yote?Yap kweli kaka, ila aina haja ya kuwa tag mtu ataye kua na utayar ata share.
Hasaa yule ambaye kafauru written status yake ndo muhimu ile ya "" selected for oral ili tuone io kijani"" na sio mbaya ata kwa aliekosa placement aka share picha yake ya "" selected for oral"" huenda kuna utofauti.
Tena kama ulifanya Oral mwezi wa 11 pdf liko njia.. mwezi huu zote zitatoka mkuuπππππPresha inapanda presha inashuka.Si unajua tena kusubiri placements kulivyo.....Unatamani ujue tu kama upo au haumo mapambano yaendelee.