Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

°Kuna dalili ya Uonevu NPS walisema nafasi ni 82 ila wamechukua 73, hao 9 wameenda wapi? Au washachomekwa.
°kuna uwezekani mkubwa ukawa umeonewa kwenye ORAL
Sijui ila nadhani hao 9 kuna wale walichukuliwa AGC na OSG watu 36....wote wametoka mule mule kwa wasailiwa wale wale nje ya nafasi za wanasheria wa MDA & LGA.

So utaona kama OSG kachukua watu 36, AGC watu 8 na NPS 73 then total number inazidi idadi ya nafasi walizotangaza.
 
Ufafanuzi mzuri
 
Hongera sanaa mkuu
 
Hongera sana Mkuu, we ni mtu humble sana.

Mimi nimekufahamu hata kabla ya huu Uzi, siku zote hujawahi badilika.
MUNGU akutangulie katika Utumishi mwema.
Na aibariki Familia yako.

Usiache kuja kwenye huu, uzi hata kutupa moyo. Sisi ambao bado.
Nasi siku yetu inakuja.
 
Yaan kaka nimefarijika as if nakufaham kwa sura mzee baba😀😀, karibu sana kwenye Grid ya taifa ya asali . Hongera sana bro
 
Shukrani sana mkuu
 
Pole sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…