Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Sijui ila nadhani hao 9 kuna wale walichukuliwa AGC na OSG watu 36....wote wametoka mule mule kwa wasailiwa wale wale nje ya nafasi za wanasheria wa MDA & LGA.°Kuna dalili ya Uonevu NPS walisema nafasi ni 82 ila wamechukua 73, hao 9 wameenda wapi? Au washachomekwa.
°kuna uwezekani mkubwa ukawa umeonewa kwenye ORAL
So utaona kama OSG kachukua watu 36, AGC watu 8 na NPS 73 then total number inazidi idadi ya nafasi walizotangaza.