Wale walishaitwa toka mwezi wa 7.Kweli ila hawa bunge pia wapo waliofanya mwezi wa sita bado nadhani majibu
Nimeona pia kakandwa.Wale mliosema kuwa Mtoto wa Palamagamba Kabudi lazima awepo kwenye mkeka wa Bunge,, mbona hayupo..!!! Utumishi wanakanda yeyote yule hawaamgalii Sura[emoji16]
Mkuu kwani maswali waliuliza ya aina gani tuandikie hata mawili matatu hivi tupate muongozo!Kada za Muhimbili National Hospital.
Huyo vipi kapita?Nimeona pia kakandwa.
Kuna John Didas Masaburi, ni mtoto wa Kada wa CCM(Didas Masaburi)? aliyewahi kugombea ubunge jimbo la Ubungo mwaka 2015, akabwagwa na Kubenea
Ndio, kaitwa kaziniHuyo vipi kapita?
Hivi jamaa alikuwa kwenye shortlisted huyu? Nakumbuka niliona jina la mtoto wa kabudi nadhani labda akufanya au amekandwa kama sisiNdio, kaitwa kazini
Majina yalikuwa mengi sana, ameitwa nafasi ya Procurement officer II, wengi tuliishia kukodolea macho yale majina mengi(2455), huku binafsi nilipitaga juu juu, huenda sikumuonaHivi jamaa alikuwa kwenye shortlisted huyu? Nakumbuka niliona jina la mtoto wa kabudi nadhani labda akufanya au amekandwa kama sisi
MKUU,Wale mliosema kuwa Mtoto wa Palamagamba Kabudi lazima awepo kwenye mkeka wa Bunge,, mbona hayupo..!!! Utumishi wanakanda yeyote yule hawaamgalii Sura[emoji16]
Mtoto wa kabudi hata TPA alikuwa shortlisted lakini alipigwa na mchanga wa pwaniWale mliosema kuwa Mtoto wa Palamagamba Kabudi lazima awepo kwenye mkeka wa Bunge,, mbona hayupo..!!! Utumishi wanakanda yeyote yule hawaamgalii Sura[emoji16]
kweli ikawe hivyo mkuu kitaani pagumu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sema wale panelists mpka nikajiuliza wanataka waniue au vipi
Siwezi kusema sio ngumu wala ngumu, hilo jibu linafaa endapo tukiona Selected au Not Selected.
Kiufupi maswali yalikuwa yanajibika ila kwa upande wangu, swali moja lilinikalia tenge, lilihitaji kumention steps ambazo huwezi kuzitunga kama concept. Sasa hapa kama huzijui basi imekula kwako
Wote waliofika oral tuendelee kuwaombea mazuri zaidi maana wamefika kwenye last stage.
Na wale ambao bado hajawahi kufika oral, tuendelee kuwaombea pia wafike hiyo hatua
Wale mliosema kuwa Mtoto wa Palamagamba Kabudi lazima awepo kwenye mkeka wa Bunge,, mbona hayupo..!!! Utumishi wanakanda yeyote yule hawaamgalii Sura[emoji16]
Huyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha, kama ni hivyo jamaa hawaangalii sura, ngoja nikaupitie.
Au ni kwa sababu wameona tumeshaanza kumzungumzia mitandaoni!?
Hata kile kipindi watu walikuwa wanatekwa sana, ilibidi mtu akijua anaweza kutekwa, anajitangaza hadharani ili watekaji waone aibu kisha wamuache, hahaha.
Hatari sanaHahaha, kama ni hivyo jamaa hawaangalii sura, ngoja nikaupitie.
Au ni kwa sababu wameona tumeshaanza kumzungumzia mitandaoni!?
Hata kile kipindi watu walikuwa wanatekwa sana, ilibidi mtu akijua anaweza kutekwa, anajitangaza hadharani ili watekaji waone aibu kisha wamuache, hahaha.
Hahahahaha!Hii Dunia Siyo kabisa....MKUU,
UTASHANGAA MWENZIO UNAYEDHANI AMEDUFULIWA,
KUMBE TAYARI AMESHAPEWA HADI BARUA YA KUANZA KAZI NA SALARY YA SEPTEMBA AMEPATA.
HAPO ND'O UTAJUA KUWA HII NCHI NI YETU SOTE NA MAENDELEO HAYANA CHAMA!!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
MKUU,Huyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye vitu ambavyo mbongo lazima amuingize nduguye ni huku kwenye miraja ya Asali akiwa na access ya kufanya hivyo, ila huwezi kumuona mbongo akamuingiza nduguye kwenye online business kama hii Kalynda inayotrend hapa jukwaa letu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaa, sawa mkuu nimekupataMKUU,
UNAPOZUNGUMZIA TAASISI YENYE MEMBERS WA KUTOSHA NCHI HII NI TAASISI YETU KONGWE YA "UMAJOTA" (UMOJA WA MAJOBLESS TANZANIA).
[emoji41][emoji41][emoji41]