gankson
Member
- Oct 7, 2019
- 85
- 241
skuizi unaweza jiona paper unafikisha 70..Nishakandwa hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Maisha mengine yaendelee
halafu tokeeo linatoka kuna mtu ana 98 ukoo[emoji28][emoji28][emoji28]
watu wanasoma kinom skuiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
skuizi unaweza jiona paper unafikisha 70..Nishakandwa hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Maisha mengine yaendelee
Kada ipi tupe maswali mkuu,Nitie moyo ndugu yangu nimetoka kukandwa muda huu.
Amaa kweli mrija wa Asali haujawahi kuwa mrahisi
Halafu hapo hapo cut off inaweza kuwa 90.skuizi unaweza jiona paper unafikisha 70..
halafu tokeeo linatoka kuna mtu ana 98 ukoo[emoji28][emoji28][emoji28]
watu wanasoma kinom skuiz
Kada za Muhimbili National Hospital.
Sawa mkuu, ila ukianza majukumu yako usitusahau JF. Nina imani hautakosa muda wa kupumzika ikiwemo kuingia humumzee umepambana sana Siku nikirudi jf Mungu akusaidie nikukute tayari uko kwenye mrija mkuu inshaallah [emoji120]
Baada ya kuvamia mtubwi wa vibwengu leo.tukutane baadae unavyosubili majibu kumuangalia mandonga mtwaraNishakandwa hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Maisha mengine yaendelee
Mandonga anapanda ulingoni leo? akili yote ilikuwa kwenye mkando sikufuatilia habari kabisaBaada ya kuvamia mtubwi wa vibwengu leo.tukutane baadae unavyosubili majibu kumuangalia mandonga mtwara
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kazi iendelee😂😂😂😂😂Nishakandwa hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Maisha mengine yaendelee
Pole sana tukamchek mandonga sasa aiseeeNitie moyo ndugu yangu nimetoka kukandwa muda huu.
Amaa kweli mrija wa Asali haujawahi kuwa mrahisi
😂😂😂😂Wameshakukanda vibaya sana hahhhhNitie moyo ndugu yangu nimetoka kukandwa muda huu.
Amaa kweli mrija wa Asali haujawahi kuwa mrahisi
Hahahahaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wameshakukanda vibaya sana hahhhh
😂😂😂😂Bora wangeendelea kukaa na mikeka yao tuHahahahaa.
Acha tu mkuu, siwalaumu tena
Nitie moyo ndugu yangu nimetoka kukandwa muda huu.
Amaa kweli mrija wa Asali haujawahi kuwa mrahisi
Kazi iendelee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Maswali yalikua magumu ya oral labda muujiza wa Mungu utendeke maana nikigoogle naona nilijibu chenga tu afu kibaya wakati natoka kuna mwamba akawa kama anacheka hivi asa apo si tayari nishadandia boti ya mandonga😂😂😂Mkuu, kwa wewe uliofika Oral sina shaka natabiri kuna placement inakuhusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maswali yalikua magumu ya oral labda muujiza wa Mungu utendeke maana nikigoogle naona nilijibu chenga tu afu kibaya wakati natoka kuna mwamba akawa kama anacheka hivi asa apo si tayari nishadandia boti ya mandonga[emoji23][emoji23][emoji23]
kweli ikawe hivyo mkuu kitaani pagumu sana😂😂😂😂😂sema wale panelists mpka nikajiuliza wanataka waniue au vipiHahaha, na wao ni binadamu Mkuu, unaweza usipate kazi uliyokusudia ila ukapata kwa kubakizwa kwenye data base na kupangiwa Ofisi nyingine.
Ushike huu utabiri, placements zikianza kutoka utanikumbuka.
Hapana, tusingepata royo tua.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora wangeendelea kukaa na mikeka yao tu
Siwezi kusema sio ngumu wala ngumu, hilo jibu linafaa endapo tukiona Selected au Not Selected.Mkuu vipi, mbona umekata tamaa mapema? Pepa ilikuwa ngumu sana?
Wote waliofika oral tuendelee kuwaombea mazuri zaidi maana wamefika kwenye last stage.Mkuu, kwa wewe uliofika Oral sina shaka natabiri kuna placement inakuhusu.