Mkeka wakufungia mwaka
Interview mwisho tarehe 27.
baada ya hapo nahisi wataitaa tena ule mkeka wa taifaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Interview mwisho tarehe 27.
baada ya hapo nahisi wataitaa tena ule mkeka wa taifaa
Hata wahasibu nao tumependelewa kiaina.
Yani mtu ukimpa maswali ya written unasema ulifeli wapi mbona paper jepesi ila ukiingia unakandwa Hadi so poa unaambulia 25
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Taasisi zipi zinafanya interview Hadi hyo tarehe 27.? Na huo mkeka wa Taifa ni ipi mkuu..?Interview mwisho tarehe 27.
baada ya hapo nahisi wataitaa tena ule mkeka wa taifaa
We jamaa unapenda kupeana moyo kwenye hamna 😁😁.. hata kama Hali ni Tete,, hv huoni hyo Mikandamizo kutoka PSRS kwa vijna wenzio..?Ni kweli kabisa Mkuu, naamini mwaka huu ni lazima utaingia kwenye mrija wa asali.
😂😂😂😂Kwamba vijana tunakandwa mpaka basiWe jamaa unapenda kupeana moyo kwenye hamna 😁😁.. hata kama Hali ni Tete,, hv huoni hyo Mikandamizo kutoka PSRS kwa vijna wenzio..?
Tunadandia mitubwi ya vibwengu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba vijana tunakandwa mpaka basi
Hilo la AICC..?Kuna pdf huko wenye masters za MBA mkaombe ajira portal
Ngoja nipumzike tyuKuna pdf huko wenye masters za MBA mkaombe ajira portal
Sup nadhani bado paleWakuu labda hawaiti inawezekana UDOM vijana wanafanya supplementary
Udom Sup wanaanza tar 18 but kwa mujibu wa info kutoka kwa jamaa anayesoma paleWakuu labda hawaiti inawezekana UDOM vijana wanafanya supplementary
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete wnapiga trh 24-27Taasisi zipi zinafanya interview Hadi hyo tarehe 27.? Na huo mkeka wa Taifa ni ipi mkuu..?
Duh ! Maana Sisi wahandisi hizo sahili zenyewe za kuhesabu , yaani kweli kweli utakuta kazi nafasi 1 watu shortlisted zaidi ya mia tatu .Hahaha, hapana Mkuu, sema Jf tumekuwa ndugu japo hatujuani tunatakiana kheri hata kwa wanaoenda kwenye saili wengine tusizoenda.
Ila kwa kifupi ukisoma Business Administration kama una ndoto za kuajiriwa utajikuta kila usaili na wewe umo, jukumu lako linabaki kuandaa bajeti ya kufanya Royo tua ya kuhudhuria written na Oral.
Binafsi niko busy kujiandaa kwa PSRS Royal Tua na mkando mwingine tena[emoji3][emoji3][emoji3]Uzi umepoa au tumeupa likizo fupi
Hapa watu tunakandwa kimya kimya halafu tunakosa wa kumlaumu ndio maana ukimya unaendelea kushamiri.Utumishi walivyopoa km hawapo ofisini,hamna tangazo la Kazi,hamna, placement,na Toka Waite watu kwa usaili kupo kimya sijui wanakandwa tyu raia wa usaili na interview zao za madonga
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
MNH, JKCI wanakanda watu hadi tarehe 27Taasisi zipi zinafanya interview Hadi hyo tarehe 27.? Na huo mkeka wa Taifa ni ipi mkuu..?
😂😂😂😂Tuliwasema sana wameamua watukande sasaHapa watu tunakandwa kimya kimya halafu tunakosa wa kumlaumu ndio maana ukimya unaendelea kushamiri.
Huu mwezi wote naona PSRS wamepumua maana tuliwasema sana humu ingawa bado tunaendelea kusema kuhusu placements