Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

"Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata
nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi
zitakapotangazwa."

Hii sentensi inabidi uisome vizuri maana inaumiza balaa
Zaidi ya ile "Only Shortlisted will be Contacted for interview" especially kwenye private sector[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wale wa december placement za OCTOBER NA NOVEMBER ZIMEISHA?

WATABIRI MTUPE MREJESHO ILI WATU WA DECEMBER TUKAE MKAO WA KULA.....

#PLACEMENT NI TIBA TOSHA, HASWA TUKIWEO KWENYE PDF
GOD BLESS US ALL TUWEMO TUNAOSUBIRI PLACEMENT NA USAILI WA MAHOJIANO TUWE SELECTED
AMEEN
 
"Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata
nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi
zitakapotangazwa."

Hii sentensi inabidi uisome vizuri maana inaumiza balaa
Hawakupata nafasi,,,,,DATA BASE
Hawakufaulu,,,,,,Baba jene bye bye
Wasusite kuomba tena,,,,,Usife moyo
 

Wewe kaa mkao wa kula mkuu,

Hizi Placement hazina utaratibu katika utolewaji wake, nafikiri ni kutokana na uhitaji ktk Taasisi husika.

Ndio maana kuna Placement za December zimetoka wkt Baadh ya za October na November hazijatoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…