professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Duh we ni zaidi ya mwanamke we kamanda nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Mimi napataga taarifa either hapa au kwenye group letu la chuo[emoji3]
Hahaha wewe jamaa,unajua JF Ina notifications so humu taarifa kupata ni rahisi sana.Maana mnachat sana vijana.Halafu placement unajua Kuna watu wengine simu za marafiki zao ndio huwapa taarifa,mtu anaweza asijue kitu ila kupitia watu akapata taarifa either ya Hongera kwa kuitwa Usaili au mwanangu nimeona jina lako Ajira mpya sehemu Fulani hongera...Group la chuo ni kwa wale Graduates wa hivi karibuni mwaka 1 had 2 hivi.
Sasa mtu una miaka zaidi ya 5 uraiani kuulizia updates kweny grp mtu unajistukia. Isitoshe wengi wao tayari wamesha move on kwnye mambo mengine.
Ndio maana ya kuwa na simu janja, taarifa zote unaangalia mwenyew hata ukiwa kwenye daladala hata bodaboda.
Binafsi huwa nashangaa mtu anauliza humu et vipi Placement hazijatoka huko, wkt anauwezo wakuangalia mwnyw na kujua mbivu na mbichi.
Hahaha wewe jamaa,unajua JF Ina notifications so humu taarifa kupata ni rahisi sana.Maana mnachat sana vijana.Halafu placement unajua Kuna watu wengine simu za marafiki zao ndio huwapa taarifa,mtu anaweza asijue kitu ila kupitia watu akapata taarifa either ya Hongera kwa kuitwa Usaili au mwanangu nimeona jina lako Ajira mpya sehemu Fulani hongera...
Well spoken and noted, May Almighty God grant us success in this year 2023. AmenTusiache kumuomba Mungu kila mtu kwa imani yake .
Tumuite Mungu tuzungumze naye yeye uwa anaitika na kujibu .
Tusisali kwa mazoea tusali tukimanisha tujiandalie mazingira na utayali wa kusema na Mungu yeye atajibu kwa wakati sahihi.
Chagueni sala kwa imani ifanye silaha yako katika kila mapambano kama utaamini Mungu atatenda.
Naamini yeyote mwenye imani hatutafika mwezi wa sita kila mtu atakua ashapata kazi tusikate tamaa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Maisha ni kuchagua, sijamkashifu yoyote, au kusema wanafanya vibaya. My point ni u can check even once a day, hao watu wapo, na kuna wale kuanzia asubuhi anaamkia huko na kushinda huko, na hii ndo inaleta shida au unaumia sana ukikuta jina hamna, maana maisha yako yote umededicate kwa PSRS, depression inaanzia hapo, kwa hiyo ata nisipopata taarifa au watu wasingekuwepo bado naweza kwenda website nikakuta tangazo lolote kwa muda nliojipangia, uzuri utumishi hawawezi toa majina leo halafu wakakwambia ureport kesho asubuhi. Labda interview ambazo ata nkifanya lazima niwe updated.Unakopata taarifa jua kuna watu ndio wanakesha kweny hyo web ya PSRS.
Kwa hyo shukuru kwa hlo kwani bila hivyo ungekuwa unapata taarifa kwa kuchelewa.
KabisaUkiwa na ishu ya kufanya unakuwa huna muda wa kusubiri kwa hamu sana.Ila kama Huna kazi nyingine inaleta presha sana asee.
Kuna mtu kashakandwa kote, placement zimetoka hayupo ila anatulia tuli, hajishughulishi chochote, anasubiri data base[emoji23], wapi atapata, lini ndo hajui, hajui ata kama alifaulu oral, tena hivyo tulishanganyana na mambo ya status humu anaona kabisa ana selected for oral na selected for null ndo kwanza humwambii chochote[emoji4]Wengine ndio husubiri hadi Data Base...
Sisi mtu akipata kazi wanampongeza kama hapa[emoji3]Mimi group la chuo lipo kimya kuhusu PSRS utadhani hawalijui ilihali tushakandwa sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jobless mmoja hivi[emoji3061][emoji25][emoji25]
Ni pamoto sana hasa kwa mtu asie na ramn yyte so by default anajikuta anashinda kwenye web ya psrs...inatgemea na hali ya ujobless aliyonayo mtu kama una sehm unafnya mishe sio rahis kuwaza sn psrsMaisha ni kuchagua, sijamkashifu yoyote, au kusema wanafanya vibaya. My point ni u can check even once a day, hao watu wapo, na kuna wale kuanzia asubuhi anaamkia huko na kushinda huko, na hii ndo inaleta shida au unaumia sana ukikuta jina hamna, maana maisha yako yote umededicate kwa PSRS, depression inaanzia hapo, kwa hiyo ata nisipopata taarifa au watu wasingekuwepo bado naweza kwenda website nikakuta tangazo lolote kwa muda nliojipangia, uzuri utumishi hawawezi toa majina leo halafu wakakwambia ureport kesho asubuhi. Labda interview ambazo ata nkifanya lazima niwe updated.
Ni bora kujiwekea muda wa kucheck kuleWebsite ya Utumishi ndio uhakika mkuu, kuna member walikuwa wanazingua humu kipind fulani wanasema kuna tangazo la kuitwa kazini ukienda kule hamna lolote.
Pia humu wengi tunatumia fake id, kwa hyo ni ngumu kujua majina yetu halisia.
Amen TwinaweTusiache kumuomba Mungu kila mtu kwa imani yake .
Tumuite Mungu tuzungumze naye yeye uwa anaitika na kujibu .
Tusisali kwa mazoea tusali tukimanisha tujiandalie mazingira na utayali wa kusema na Mungu yeye atajibu kwa wakati sahihi.
Chagueni sala kwa imani ifanye silaha yako katika kila mapambano kama utaamini Mungu atatenda.
Naamini yeyote mwenye imani hatutafika mwezi wa sita kila mtu atakua ashapata kazi tusikate tamaa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Yaani hata hujathibitishwa kazini, hii itakua ngumu. Vijana tuwe na subiraHabari za jioni waheshimiwa wasaka mirija ya asali wenzangu.
Kwa mfano, mtu umepata mrija wa asali taasisi A (mfano Tutor - VETA),
Umeripoti zako kazini baada ya mwezi tu ukaona vacancy zingine imetangazwa utumishi ya taasisi B (mfano Tutorial Assistant OPEN UNIVERSITY),
Ikiwa vigezo vya kuomba ile ya vacancy ya OPEN UNIVERSITY unavyo na unajua kuwa kwa kiwango na maslahi ni zaidi ya VETA,
Inaruhusiwa kuomba ikiwa una mwezi mmoja tu tangu uajiriwe?
Na je mwajiri anaweza kuwa willing kuipitisha barua ya maombi ya kazi kwenda PSRS?
Sisi mtu akipata kazi wanampongeza kama hapa[emoji3]
Chuo 2019Ni muda gani tangu mmemaliza chuo?.
Kumbe ulifanya Tari mkuu!Wakuu hapo matumaini ya kukanda yapo au ndo nimekandwa?View attachment 2488186
Kumbe ulifanya Tari mkuu!Wakuu hapo matumaini ya kukanda yapo au ndo nimekandwa?View attachment 2488186
Naam, nilisikilizia nikachoka, ikabidi niende zangu porini kukata mkaa nimerudi juzi kitu bado ni received . Nasubiria TARI kama Mungu atanionaUliomba mkuu?