Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naona Utumishi wametoa Tangazo la Placement la OUT lililokuwa la hivi karibuni,Je ni dalili ya kuwekwa placements mpya Sasa hivi likihusisha Taasisi Mbalimbali za Umma...
Yakunle
meck pro
 
Eeeeht watuchukue wote kuna Nyakat Kabisa unaingia kwny Written unaona dhamira ya mtunzi wa Mtihan ni kuondoka na Majority Upande wake(NOT SELECTED) na kuwaacha Minority (SELECTED) .
Mbali hivyo, kwenye kushortlist huwa kuna panga la hatari sana pia ila sisi hatujui. Hizi nyomi tunazoziona kuitwa written ni wachache ukilinganisha na walioapply
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…