BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Certified information systems auditorCISA ndo nn wengine washamba kudg mkui
Certified Information System AuditorCISA ndo nn wengine washamba kudg mkui
Kuna yule Tutorial Assistant mpya wa Chuo Cha Kilimo Nyerere Butiama,, alikuwa akizisubiria sana hizi za TPDC licha ya kupata kazi.. Yuko wape yule mbona kimya...!!!
Duuuuuh!Labda nilikudanganya.. inatokana na swali lako uliuliza kwa muktadha upi
Huyu haaminiki, apelekwe kamati ya nidhamu....Ivi kwa nini huwa mnadanganya? Mnafaidika nini?View attachment 2493461
Shukurani mkuuCertified Information System Auditor
Safi sanaCertified information systems auditor
Hapana kiongozi,naona Kuna ka placement kale ka OUT walikofanyia Makao Makuu DSM waliweka tarehe 18/01 /2023 ila Sasa wamelitoa,limebaki lile la Tarehe 10/01/2023 tu.Mkuu, wametoa placement huko?
Oky, wameliondoa kumbe.Hapana kiongozi,naona Kuna ka placement kale ka OUT walikofanyia Makao Makuu DSM waliweka tarehe 18/01 /2023 ila Sasa wamelitoa,limebaki lile la Tarehe 10/01/2023 tu.
Yes nenda kacheki utaonaaOky, wameliondoa kumbe.
Poa poa mkuu.Yes nenda kacheki utaonaa
Yeah, nahisi hivyo..hasahasa sisi tunaosubiria za OUT zingine nadhani ni muda sasa umewadia wa kujua mbivu au mbichi
Bado nipo kwenye gwaride kwanza mkuu, tukiiva kwa siku 5 ndio tutajua wapi tutaelekea kwa ajili ya mapambanoVipi mheshimiwa umepangiwa mkoa gani?
Sawa mkuu usijali[emoji3]Nisalimie HR pande hizo,
Mbali hivyo, kwenye kushortlist huwa kuna panga la hatari sana pia ila sisi hatujui. Hizi nyomi tunazoziona kuitwa written ni wachache ukilinganisha na walioapplyEeeeht watuchukue wote kuna Nyakat Kabisa unaingia kwny Written unaona dhamira ya mtunzi wa Mtihan ni kuondoka na Majority Upande wake(NOT SELECTED) na kuwaacha Minority (SELECTED) .
Ooohh kumbe wewe wasuburi zile za OUT za November?Yeah, nahisi hivyo..hasahasa sisi tunaosubiria za OUT zingine nadhani ni muda sasa umewadia wa kujua mbivu au mbichi