Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hamna kitu kama hicho,jamaa yangu mmoja nilimuazima tai yangu nyekundu kwendea oral interview hapo utumishi na akapata kazi.
Unapenda sana kubisha kila kitu, sio lazima ubishe kila kitu kaka angu.

Mfano huyo uliemuazima tai nyekundu unafikiri angepewa zero kisa tai while kajibu maswali yote vizuri, lakini fikiria angekuwa anajua swali labda moja au mawili, halafu appearance nayo imuangushe.

Mimi nashauri, u can take it or not take it, hakuna aliesema ukienda kwenye usaili wa oral uvae tai nyekundu au uvae tai, no no noooo, kama hutaki kuvaa tai sawa, u will still appear smart, lakin kama umeamua kuvaa tai basi vaa ata black ama blue, vitu vingine unajiongeza tu sio lazima mtu asimame pale akwambie jinsi ya kuvaa from head to toe.

Na hakuna msimamizi pale anaweza kukwambia et kavue hiyo tai nyekundu ni ya mamlaka no no no
 
Sidhani lakini kwamba ni lazima uvae tai. Cha msingi ni kuvaa official tu. Au hii imekaaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…