Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mwambie huyo utofauti uliopo, kuna kupendeza na kuwa smart kulingana na matakwa ya kada husika,

Kupendeza hata ukivaa "kipensi" au "jinsi michanikio" sandals na flana flana unakua umependeza.

Kuwa smart katika interview ni zaidi ya kupendeza.
Umemaliza kaka
Kaka umemaliza kueleza kila kitu maneno yako yanajitosheleza, kijana kashindwa kutofautisha kati ya utani na ukweli, yaani kweli unyimwe kazi kisaa umependeza kuliko boss, jaman kama unashindwa kujua huu ni utani then bas ni disaster.
 
Hahahaaa, kweli aisee
 
Mkuu unaitupia hilo mimi tena, hii ilikia hoja "yenu", wewe na dada, toa ufafanuzi hapa, "heavy red color tie" ama "mixed red colored" ipi ina nafuu, protocally? [emoji2957]
Eeeeeiiii[emoji23][emoji23], jaman hii topic ilishaisha na iliisha poa tu. Sasa kuirudia hapa bado kuna watu watakuja kuchange iwe ubishi. Wakati kila kitu kinaeleweka, mavazi ya utumishi yapo very specified, ila kuna wale wazee wa tie, so kama unapenda kuvaa tai, don't just wear any color, rangi zote zina maana hizo kiprotocal.

Lakini sio kuwa kwamba ukivaa tai nyekundu utafukuzwa, no na interview unaweza pita, maana interview nzima hawaangalii mavazi tu kuna vitu vingine kibao. Ni kama ingredients tu kwenye chakula.
 
Bravooooo!!
 
Acheni kuongopea Umma wale wote wanaona kuja na status za SELECTED for NULL ( hawa wanakuwa wametumia App ya PSRS na sio Website)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…