ICTVocational tutor kada gani?
Hao hawatumii TGS kwel?Hivi kuna ambao nimeona wamepangiwa na wizara mshahara wao unakuwaje, mfano nimeona wizara ya afya,
Sawa mkuu,endele kusubiri mkeka maana ukiona upo kwenye shortlist ni mwanzp mzuri kila lakheri utokee kwenye shortlist
Sina ufahamu wa mishahara mkuu,japo nasikia kuna utofautivwa mishahara ya halmashauri na serikali kuu kama huko wizaraniHivi kuna ambao nimeona wamepangiwa na wizara mshahara wao unakuwaje, mfano nimeona wizara ya afya,
Hii ni replacement tu, nafasi zao chamani(UMOJATA) sasa zimepata member wapya. Keki ya Taifa ni lazima tupokezane aisee[emoji3516]
NASIKITIKA KUONA TAASISI YETU KONGWE YA "UMAJOTA" (Umoja wa MAJObless TAnzania) IMEPOTEZA MEMBA KADHAA.
Ict soma operating system na network nakutumia hapa notes za OS na network mfano pepar niliyofanya mie Ilikua na network na operating system Kawa yote mkuu ukisoma Hizo unatoboa nasikia hata interview ya Tra ilijaaga vitu hivyo
Na wachumi mtume nondo aisehSijui kwa nini wahasibu na wakaguzi wa mahesabu hamtaki kuweka maswali yanayotokaga.
Heko kwa watu wa ICT naona mnamwaga nondo kama zote yani.
Ndugu hii placement ulochaguliwa…mlifanya interview mwezi gani?Ict soma operating system na network nakutumia hapa notes za OS na network mfano pepar niliyofanya mie Ilikua na network na operating system Kawa yote mkuu ukisoma Hizo unatoboa nasikia hata interview ya Tra ilijaaga vitu hivyo
Shukran mkuuIct soma operating system na network nakutumia hapa notes za OS na network mfano pepar niliyofanya mie Ilikua na network na operating system Kawa yote mkuu ukisoma Hizo unatoboa nasikia hata interview ya Tra ilijaaga vitu hivyo
Mwezi wa sita mkuuNdugu hii placement ulochaguliwa…mlifanya interview mwezi gani?
#Wadau nami ipo siku jina langu litaappear kwa mkekawa Placement PSRS na nitakuja kuwaambia hapa tena nikiwa nimepata kazi kwenye Taasisi nzuri tu..
MUNGU NDIO KILA KITU IPO SIKU HAUSLTLING ZETU ATAZIONA NA KUZIBARIKI.
Tuseme INSHALLAH......[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Inshallah kikubwa uzima tu
Watu hawana uhakika wa kula wanawezaje kutumia muda vizuri kujiandaa na usaili? Mkiwa nacho acheni kuwaona wenzenu kama hawana juhudi zozote.Vijana mnaotafuta kazi msichoke kupambana kutafuta kazi,na pia acheni kulalamika mnapoona mchakato wa kuitwa kwenye Interview au kuitwa kazini umechelewa,nimeona majina ya kuitwa kazini BUNGE ambapo mchakato wa Usaili ulifanyika mwezi uliopita tu,ni vizuri kutumia muda vizuri kujiandaa kwa Usaili KULIKO kutumia muda JF kufungua Nyuzi za kulalamika mchakato wa Usaili au kuitwa kazini kuchelewa,PSRS ni Taasisi inayofanya kazi kwa taratibu na si kwa pressure za JF,vijana mliopata nafasi Bunge na Taasisi nyingine HONGERENI na mkafanye kazi
Hongereni wote mliotoboa na ambao bado tuendelee kukomaa…nilitaka kuuliza izo placements zilizotoka ni adi ifm?
Asante sana Mkuu, maneno kuntu sana nitayazingatia, lazima niingie huku kuwatia moyo kadri niwezavyo na nitatoa ushirikiano wa hali na mali pale inapobidiHongera sana mkuu. Kila la kheri ukawe mtumishi mwema na bora, kazingatie maadili na miiko ya utumishi. Zile nyodo na majivuno siyatarajii kwa mpambanaji wa namna yako, hayo mambo waachie wanaovutwa kwa mserereko bila kujua msoto wa kupambana.
Usisahau kuja kutujulia hali humu tunaoendelea kupambana, kila mmoja ana siku yake ya kutoboa, hatuwezi kutoboa wote kwa siku moja. Tangulia tutakuja siku yetu ikifika!
Asante sana MkuuHongera sana baba..
We shall meet till next time.