Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mwenyewe nilikuwa sina habari kabisa siku hiyo na sikuingia humu kwa muda kama masaa kadhaa nyuma.

Nilipokuja kuwasha data nikaingia WhatsApp nikakuta jamaa kanitumia pdf na kunipongeza. Aisee Moyo ulilipuka sana nikiwa siamini kama, nikaidownload fast na kuifungua nihakikishe, nilipoona jina nilianza kutokwa machozi kabisa[emoji3][emoji3]
Wewe Mwifwa muda wote ulikuwa unakesha humu na kule web.. hizo habari za hukuwa na habari kivipi😁😁, pdf imetoka tu mara ukaleta ushuhuda wako hapa kufurahi.. hebu tuondolee unafiki wako hapa😂
 
Wewe Mwifwa muda wote ulikuwa unakesha humu na kule web.. hizo habari za hukuwa na habari kivipi[emoji16][emoji16], pdf imetoka tu mara ukaleta ushuhuda wako hapa kufurahi.. hebu tuondolee unafiki wako hapa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Naona unabeba mikoba ya kyagata ya kukasirika.

Web niliichungulia mida ya saa 1 nilikuja kuhabarishwa mida ya saa 4, kwa hiyo kuna interval ya masaa hapo ambapo sikuingia kwenye web
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Naona unabeba mikoba ya kyagata ya kukasirika.

Web niliichungulia mida ya saa 1 nilikuja kuhabarishwa mida ya saa 4, kwa hiyo kuna interval ya masaa hapo ambapo sikuingia kwenye web
Niwie radhi kabisa mkuu,
yule jamaa huwezi nifananisha na mimi kabisa, me msikhara tu ndio yametaradadi hapa yaan Wala simaanishi kabisa kwenye hizi reactions
 
Back
Top Bottom