Kalikenye_91
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 217
- 589
Nimekusoma mkuuPambana kijana, usidhani uzee ndio utakupa favor haliyakuwa kichwani hamna kitu.
Maswali 5 ya oral we unaokota moja tu,,,,hiyo hapana
Ila wakipitiliza si wanalipwa overtime?Atakuwa kashajua maana hii kitu haifichiki.
Ila huku sio hotcake ni mwendo wa overload na maripoti hatari, muda wa kutoka kazini ni saa 9:30 ila watu wanapitiliza hadi saa 11 jioni wakiwa busy na maripoti.
Sio kwamba usifanye ila jitakase kipindi hiki unachotaka bahati, kwanza sali then tumia hata chumvi ya mawe kwa muda wote wa kabla interview hadi placement acha kabisa ngono, amini usiamini kuna mikosi sana humo.SaSA tutaishije bila kufanya ngono
Watu waliobahatika kuwa na kazi wana mashauzi.... dahh! 😂😂😂🙌🏾Ila wakipitiliza si wanalipwa overtime?
Mkuu! Hivi hii ya chumvi inawork kweli?Sio kwamba usifanye ila jitakase kipindi hiki unachotaka bahati, kwanza sali then tumia hata chumvi ya mawe kwa muda wote wa kabla interview hadi placement acha kabisa ngono, amini usiamini kuna mikosi sana humo.
[emoji23][emoji23][emoji23] mwambie tunataka mkeka next wk jtano wa MB12 usaili wa DecemberMwamba anawatakia jioni njemaView attachment 2506184
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Asante ngoja nianze dozi hii 👆Sio kwamba usifanye ila jitakase kipindi hiki unachotaka bahati, kwanza sali then tumia hata chumvi ya mawe kwa muda wote wa kabla interview hadi placement acha kabisa ngono, amini usiamini kuna mikosi sana humo.
Mwambie received zimeisha huku na mambo bila bila aachie mikeka ya kazi tuingie ulingoni kwa mara nyingineMwamba anawatakia jioni njemaView attachment 2506184
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
2 Wafalme 2:21 BHNMkuu! Hivi hii ya chumvi inawork kweli?
Hv havihusiani na Interview km Yamo kichwani Yamo tuSio kwamba usifanye ila jitakase kipindi hiki unachotaka bahati, kwanza sali then tumia hata chumvi ya mawe kwa muda wote wa kabla interview hadi placement acha kabisa ngono, amini usiamini kuna mikosi sana humo.
Ahhaha alipiga kamba gan??Mkuu hongera sana, Naomba tu isiwe kama ile kamba ya TRA uliyotupanganga... Hongera sana.
Vp mikeka imeanza kushushwaMwamba anawatakia jioni njemaView attachment 2506184
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkandaji mkuuMwamba anawatakia jioni njemaView attachment 2506184
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu2 Wafalme 2:21 BHN
Elisha akaenda kwenye chemchemi ya maji, akatupa chumvi hiyo ndani na kusema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: Nimeyafanya maji haya kuwa yenye kufaa; tangu sasa hayatasababisha vifo au kutoa mimba.”
Mkuu inafanya kazi.
Mkaguzi napitia hapa CPA(T) ili niweze kufika ulipo nikukague.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ukweli huo yaani, ukienda kwa ajili ya Oral kuna presha hatari hayo mazingira ila ukienda kuchukua barua unajiona na mtu mzito hivi[emoji3][emoji3]
Suala la connection lipo, na huenda likaendelea kuwepo,Kama huna connection tuliza ball!...
Niliwahi kwenda sehemu moja(ni ofisi maarufu nchini)
Jamaa wana asili ya kiarabu ila wanaishi nchini na kujifanya na wao ni wabongo na kututukuza kinafki tuone ni wamoja wetu kumbe ni trick za kuendelea kufaidi mema ya nchi. Jamaa kapigiwa simu na ndugu/jamaa yake wa kike ila Mwarab mwenzie maongezi yalikuwa hivi...
BOSS: Naam hello... Saaleko!
NDUGU/JAMAA/CHAWA: waaleykoum salaam................ (maongezi mengine yakapita, kisha)
Si unajua mwanao kamaliza mwaka huu na sitaki akae mtaani apoteze tu muda azurule bila msingi hapa Kariakoo kwahiyo naomba aje aanze hapo....
BOSS: Hamna shida..., basi Insha'Allah mwambie Jumatatu aje..
MIMI nikabaki nalaumu wazazi, familia, ukoo, mababu,mpaka uafrika wangu.
Haya utakutana nayo wote mmepata 70% mnalingana kila kitu ila anatakiwa achaguliwe mmoja.Hv havihusiani na Interview km Yamo kichwani Yamo tu