Sio kwamba usifanye ila jitakase kipindi hiki unachotaka bahati, kwanza sali then tumia hata chumvi ya mawe kwa muda wote wa kabla interview hadi placement acha kabisa ngono, amini usiamini kuna mikosi sana humo.
Ebana upo I.A.E?! HAHAHA!Suala la connection lipo, na huenda likaendelea kuwepo,
Lakini mpambanaji hutakiwi kukata tamaa, Kuna wakati connection haiwezi kutumika bali uwezo flani wa mtu.
Nakumbuka interview yetu pale IAE kulikuwa na wahitimu wengi wa pale chuoni. Wengi tulikata tamaa na kuamini watawachukua wahitimu wao ambao wanajuana na baadhi ya watu kwenye panel. Baada ya written ni watu wawili hivi ndio waliingia kwenye oral na mmoja ndio akafanikiwa kupata placement (Kwa wale wahitimu wao).
Mimi baada ya kupata placement, watu wengi waliniuliza unajuana na nani serikalini au utumishi? lakini hakuna hata naejuana nae, ni Mungu na jitihada tu. Marafiki zangu baadhi nao wamepata ajira kupitia Utumishi na naamini ni jitihada zao tu. Huu utaratibu wa utumishi ni mzuri sana na kama una mapungufu basi ni machache sana.
Suala la connection lipo, na huenda likaendelea kuwepo,
Lakini mpambanaji hutakiwi kukata tamaa, Kuna wakati connection haiwezi kutumika bali uwezo flani wa mtu.
Nakumbuka interview yetu pale IAE kulikuwa na wahitimu wengi wa pale chuoni. Wengi tulikata tamaa na kuamini watawachukua wahitimu wao ambao wanajuana na baadhi ya watu kwenye panel. Baada ya written ni watu wawili hivi ndio waliingia kwenye oral na mmoja ndio akafanikiwa kupata placement (Kwa wale wahitimu wao).
Mimi baada ya kupata placement, watu wengi waliniuliza unajuana na nani serikalini au utumishi? lakini hakuna hata naejuana nae, ni Mungu na jitihada tu. Marafiki zangu baadhi nao wamepata ajira kupitia Utumishi na naamini ni jitihada zao tu. Huu utaratibu wa utumishi ni mzuri sana na kama una mapungufu basi ni machache sana.
Sema Niko center ya mbeya mkuuEbana upo I.A.E?! HAHAHA!
Kuna Mama mmoja Librarian anaitwa "Teddy mndellah" unampata?!
Kabisa kabisa mzeePia naamini hivyo mkuu,
Utumishi Kwa sasa issue za connection ni ndogo sana, ndio maana wengi wanapata Ajira na kushukuru kuwa hafahamiani na mkubwa yyte toka Serikalini.
Naamini ni suala la muda tu kuingia ktk pia la asali, muhimu ni kuweka jitihada na kuomba sana.
Mkuu asante sana kwa motivesheni ila mkuu wewe unasubiria pacement ya nafasi gani?Habari zenu wapambanaji wenzangu,mabibi na mabwana.Kwa wale mliobahatika kazi kupitia placement ya Jana,Hongereni sana nyote.Na kwa wale ambao hamkubahatika,tujue Wakati Bado, Mapambano yaendelee,Mungu wetu ni mwema sana......
Wale wenzangu na Mimi wa Kusubiri Placement, November, December,Nasi tuendelee kumuomba Mungu tukisubiri PDF,kama tutabahatika au Bado tutaendelea kusubiri.Uzuri tupo nao humu ndani
Sekretarieti ya Ajira na walituahidi Jana ya kuwa tuendelee kutembelea www.ajira.go.tz kwa ajili ya kutizama placements,kwani mwezi huu zitashushwa za kutosha, November na December mambo yatakuwa mazuri kwa waliofanya Oral....
Wale wa MDAs na LGAs nadhani muendelee kuvuta subira,matokeo Yenu yakiwa tayari mtaachiwa tu.Kikubwa ni kuombea kuwa kwenye mstari wa' SELECTED'...
Nawatakia weekend Njema nyote.
Mapambano yaendelee
Mungu wetu ni mwema sana.
Kasema nae ni Miongoni mwa wanaosubiri placements mbona inatosha, hyo nafasi au kada ni ya nini tena..?Mkuu asante sana kwa motivesheni ila mkuu wewe unasubiria pacement ya nafasi gani?
Nilikuwa nimelisahau jina aiseeWakumuita kunguru wa manzese, now anakula dodo magereza.
[emoji23][emoji23] mimi naona sio tatzo mkuu ni ktk njia ya kufarijiana,Kasema nae ni Miongoni mwa wanaosubiri placements mbona inatosha, hyo nafasi au kada ni ya nini tena..?
Kwa hiyo ukiwa Umefanya Ngono ndy utaliwa kichwaaa achen hbr zenu .Haya utakutana nayo wote mmepata 70% mnalingana kila kitu ila anatakiwa achaguliwe mmoja.
HUyo ni mkandajiMkuu asante sana kwa motivesheni ila mkuu wewe unasubiria pacement ya nafasi gani?
Ahahah umejuaje au mwandiko wake unaujuaHUyo ni mkandaji
Mkuu rudi comment #18,171...Kikubwa ni kunena/kunuizia dua ama sala yako.Dadavua kidogo hapo kwenye chumvi ya mawe, unaitumiaje?.
Na je ni ipi nguvu inayopatikana ktk matumizi ya chumvi ya mawe?.
Mkuu wewe wala haujalazimishwa endelea na utaratibu wako, lakini vitabu vyote vya dini vimeielezea zinaa na wala si uongo kama wewe ni muasherati basi jua unaondoa zile natural gift alizokupa Mungu utajiona kila wakati kama una gundu vile kumbe ulipaswa uchunguze njia zako, ila muhimu kumbuka nadharia hii haulazimishwi kuiamini.Kwa hiyo ukiwa Umefanya Ngono ndy utaliwa kichwaaa achen hbr zenu .
Hahahaaa.Mkaguzi napitia hapa CPA(T) ili niweze kufika ulipo nikukague.