Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Bado ni vigumu sana make mara nyingi wanaomark practicals uwa ni walimu wa vyuo mfano mimi nikifanya practical ila udom lectures ndo walikua wanamark psrs na taasisi husika walikua kama observers

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
TOKEA TUFANYE ORAL 17/5/2022 MPAKA LEO KIMYA....HATUFI HATUJINYONGI LAKINI CHAMOTO TUNAKIONA!
Mkuu si upotezee tu hio placement, naona kuifikiria ni kupoteza muda maana ni almost 9 months shtuka, fanya mambo mengine fanya interview zingine... Ikitoka majaliwa ispotoka unakua ushaisahau.
 
Daaah, we jamaa unajua mchakato wa ajira ulivyo mgumu? Af unasema nipotezee kirahisi tu
 
Daaah, we jamaa unajua mchakato wa ajira ulivyo mgumu? Af unasema nipotezee kirahisi tu
Sasa mzee utaishi kwa matumaini ya hio oral ya mwaka jana mwezi wa 5 mpaka lini? Fanya interview zingine ufike oral hata hio utaisahau... Af kingine kitu ukiwa na shauku nacho sana hukipati, ukiwa huna time nacho ndo utaona unakipata kirahisi tu.
 
Kumbe watu washapangiwa kimya kimya af jamaa bado anasubiria tu hio placement.
 
Sasa mzee utaishi kwa matumaini ya hio oral ya mwaka jana mwezi wa 5 mpaka lini? Fanya interview zingine ufike oral hata hio utaisahau... Af kingine kitu ukiwa na shauku nacho sana hukipati, ukiwa huna time nacho ndo utaona unakipata kirahisi tu.
Nataka ufafanuzi maana ni haki yangu kupata matokeo baada ya interview, aliyekuambia sifanyi interview nyingine ni nani? Unajua usumbufu na gharama za kufanya interview? Tunataka japo neno lolote kutoka psrs
 
Nataka ufafanuzi maana ni haki yangu kupata matokeo baada ya interview, aliyekuambia sifanyi interview nyingine ni nani? Unajua usumbufu na gharama za kufanya interview? Tunataka japo neno lolote kutoka psrs
Tembelea kwenye ofisi zao au uwapigie simu kuhusu ilo swala lako. Nilikua nakushauri tu, kama utaweza utauchukua ukishindwa endelea kusubiri hio placement.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…