Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ila maswali mnayouliza jamani,wakati mwingine mtu unakaa unacheka tu..sasa mtu utajuaje kuwa mood flani ya mtu ina maana flani?hamna hata uzoefu wa interview za private sector wakuu?kwa mtazamo wangu wewe ukishapiga interview zao kausha endelea na harakati zingine za maisha,usijipe matumaini kivile wala usijione umejibu vibaya maswali yao.
Mimi interview ya heslb kuna swali niliambiwa nitaje point tano but me nikataja 3 tu na kuzielezea vizuri na aliyeniuliza lile swali akanikazia kuwa I need 5 points me nikamjibu that is what i have in my mind regarding your question Sir nikaishia hapo,i

Ila maswali mnayouliza jamani,wakati mwingine mtu unakaa unacheka tu..sasa mtu utajuaje kuwa mood flani ya mtu ina maana flani?hamna hata uzoefu wa interview za private sector wakuu?kwa mtazamo wangu wewe ukishapiga interview zao kausha endelea na harakati zingine za maisha,usijipe matumaini kivile wala usijione umejibu vibaya maswali yao.
Mimi interview ya heslb kuna swali niliambiwa nitaje point tano but me nikataja 3 tu na kuzielezea vizuri na aliyeniuliza lile swali akanikazia kuwa I need 5 points me nikamjibu that is what i have in my mind regarding your question Sir nikaishia hapo,ila nimefaulu.
Hongera sana comrade kwaio qpo una subiri monthly salary na maperdiem😂😂
 
Don’t be too aggressive bro acha mtu awe free kuexpress what he feels. Hii ni sehemu huru ukiona vinakukera achana navyo. Sasa wewe mbona unatuambia habari zako na unavyoelezea vyako vinatusaidia au kufundisha nn au kuna mtu ushawahi ona yupo negative kwako. Try to man up.
Acha umavi pimbi wewe,wapi nimekuwa aggressive au hujui hata maana ya ulichokiandika?kusema maswali mnayouliza yanachekesha ndio kuwa aggressive?ningekua aggressive ningetoa my experience?
Sio lazima uniquote mimi,kuna watu wengi tu hapa jukwaani unaweza kudeal nao,sioni umuhimu wa wewe kila ninachokiandika ukifuatilie.
 
Acha umavi pimbi wewe,wapi nimekuwa aggressive au hujui hata maana ya ulichokiandika?kusema maswali mnayouliza yanachekesha ndio kuwa aggressive?ningekua aggressive ningetoa my experience?
Sio lazima uniquote mimi,kuna watu wengi tu hapa jukwaani unaweza kudeal nao,sioni umuhimu wa wewe kila ninachokiandika ukifuatilie.
tatizo ni afya ya akili yako.
 
Acha umavi pimbi wewe,wapi nimekuwa aggressive au hujui hata maana ya ulichokiandika?kusema maswali mnayouliza yanachekesha ndio kuwa aggressive?ningekua aggressive ningetoa my experience?
Sio lazima uniquote mimi,kuna watu wengi tu hapa jukwaani unaweza kudeal nao,sioni umuhimu wa wewe kila ninachokiandika ukifuatilie.
Mambo kama hayo ndio yanayofanya watu wengine tuupotezee huu uzi,ukitoa mawazo yako ambayo yako against na ya mwingine unaonekana uko aggressive. Mwisho wa siku tumeamua kuwaachia wenyewe waendelee kupeana comments wanazozitaka.
 
th
Ila maswali mnayouliza jamani,wakati mwingine mtu unakaa unacheka tu..sasa mtu utajuaje kuwa mood flani ya mtu ina maana flani?hamna hata uzoefu wa interview za private sector wakuu?kwa mtazamo wangu wewe ukishapiga interview zao kausha endelea na harakati zingine za maisha,usijipe matumaini kivile wala usijione umejibu vibaya maswali yao.
Mimi interview ya heslb kuna swali niliambiwa nitaje point tano but me nikataja 3 tu na kuzielezea vizuri na aliyeniuliza lile swali akanikazia kuwa I need 5 points me nikamjibu that is what i have in my mind regarding your question Sir nikaishia hapo,ila nimefaulu.
thanks mkuu,mkeka wa wizara huo ndio kwanza nimewagia hodi utumishi
 
wakuu ishu gani/mood gani inakupa vibe baada ya kupiga oral kuwa angalau panelist nimewa win ama ndoige? mfano mm juzi hpo swali la introduce yourself mkuu wa panel alinambia very good,other questions nikawaona wako bize tu kuandika points haloo imenistua kimtindo,ebu tupeane experience kipi kinakupa vibe ya kusubiria placement ??
Ulijitambulusha vipi mkuu paka kuambiwa hvyo?
 
Yote tutafakari humu lakini MUNGU ndo Kila kitu....Kila jambo tunalofanya na kukutana nalo tunapaswa kumshukuru MUNGU. Inawezekan ulijibu maswali yote vibaya lakini kwa msaada wake MUNGU ukafaulu. MUNGU akiona wakati wako imefika hakuna wa kuzuia.
 
Back
Top Bottom