Mwamba95
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 148
- 381
Ila maswali mnayouliza jamani,wakati mwingine mtu unakaa unacheka tu..sasa mtu utajuaje kuwa mood flani ya mtu ina maana flani?hamna hata uzoefu wa interview za private sector wakuu?kwa mtazamo wangu wewe ukishapiga interview zao kausha endelea na harakati zingine za maisha,usijipe matumaini kivile wala usijione umejibu vibaya maswali yao.
Mimi interview ya heslb kuna swali niliambiwa nitaje point tano but me nikataja 3 tu na kuzielezea vizuri na aliyeniuliza lile swali akanikazia kuwa I need 5 points me nikamjibu that is what i have in my mind regarding your question Sir nikaishia hapo,i
Hongera sana comrade kwaio qpo una subiri monthly salary na maperdiemππIla maswali mnayouliza jamani,wakati mwingine mtu unakaa unacheka tu..sasa mtu utajuaje kuwa mood flani ya mtu ina maana flani?hamna hata uzoefu wa interview za private sector wakuu?kwa mtazamo wangu wewe ukishapiga interview zao kausha endelea na harakati zingine za maisha,usijipe matumaini kivile wala usijione umejibu vibaya maswali yao.
Mimi interview ya heslb kuna swali niliambiwa nitaje point tano but me nikataja 3 tu na kuzielezea vizuri na aliyeniuliza lile swali akanikazia kuwa I need 5 points me nikamjibu that is what i have in my mind regarding your question Sir nikaishia hapo,ila nimefaulu.