Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa hiyo kama me nasubiri placement za TRA ktk website inasoma SELECTED FOR ORAL ktk app inasoma NOT SELECTED FOR NULL kwa hiyo apo tayar nimekandwa
Nyie mnachokosea hamuweki na ushuhuda wa picha.. Mimi Jana niliweka zangu hapa Kila mtu akaona.. Kunena jambo fulani bila ushahidi ni UNAFIKI tena wa Hali ya juu hasa kwenye vitu muhimu kama hivi.
Sasa nasemajeeeh,,,, habari za kuzungumzia Status halafu huweki picha zikome kabisa kuanzia leo kwa watu wote humu😁... alaaaaaaah...
 
Kama ukiomba kama ukiomba Inakubali we omba tu,, kule hawaangalii kozi kwanza wasimamizi wengine hata majina ya kozi hawajui wanahitaji nyaraka zako muhimu tu
 
Masta msaada wa hizo status za app wengine tunaona nyota nyota tu

Mkuu, asante sana kwa kunipa nafasi ya kukupatia ufafanuzi. Ukweli kuhusu umepata au kukosa ajira kulingana na Oral uliyofanya uko kwenye PDF ya placement, hilo ndilo jibu la uhakika zaidi kuliko lolote.

Tofauti na hapo, labda Utumishi wenyewe watoe ufafanuzi wa moja kwa moja.
 
Aisee message ni nyingi sana, hongera sana wote mliopata kazi. Mungu akawaongoze.
Pia wale waliokosa msikate tamaa, siku yenu ipo, always Mungu ni mwema[emoji1431]
Kuna kada kadhaa za sheria wametoa placements zake siku chache zilizopita, vipi tumebahatika kuwamo kwenye huo mkeka Nana (Kiswahili cha Madam ni Nana, tunakuza Ulumbi)
 
Habar zenu wenzangu tunaotafta ajira.
nlikuw nina swali , kuna post bado zipo received tokea mwezi wa sita mwaka jana 2022. je ndo imetoka au wanaweza itisha usaili ? mwenye shuhuda aseme
Lazima watu waitwe mzee,zile za MDA na LGA zilitangazwa since May 2022 ila walifanya last month.so ni suala la kuendelea kusikilizia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…