Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Daah, niliisahauUmesahau na LOAN BOARD (HESLB)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah, niliisahauUmesahau na LOAN BOARD (HESLB)
Duuh Sawa mkuuResearch wametoa swali la difficulties for poor research design
Kada Kama zote aisee kibao It, mechanic,hotel, electric,hotel na zingine
Pia kuna wizara ya kilimo mkeka mkubwa hatari maelfu ya watuHahaha, Mkuu umechambua Kitaalamu sana.
Niliambiwa sehemu kuwa zinaweza kutoka wakumi mwishoniSafari ya wasubili placements inawezekana ikatoka wakumi kwa wale walioanza saili Toka wa sita Hadi mwezi huu tuendelee na majukumu mengine
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Na mm niona kuna raia wanasema hizi zote wakumi zinatoka kwa mara moja kuanzia tarehe 18Niliambiwa sehemu kuwa zinaweza kutoka wakumi mwishoni
Utatumegea maswali uliyoulizwa mkuuAsante kwa kunikumbusha mkuu
Kwahiyo placement zote mwezi OctoberNiliambiwa sehemu kuwa zinaweza kutoka wakumi mwishoni
Hapo kaka na mm karata zangu nazitupa OctoberKwahiyo placement zote mwezi October
Unashauri vp kiongoziOctober itapita tunzeni hii
Upo jikoni nini mkuuWikii hii j4 leo au Jmoc placement. inatokaa
Mwez hauishi huu
Inabidi atupe details naona hajawai kucomment jf ila leo kacomment kuna la kujifunza tusubiliUpo jikoni nini mkuu
Kweli kabisa huenda ana za ndani kabisa maaana tumepeana taarifa mpka zimeungua zikaungua tenaInabidi atupe details naona hajawai kucomment jf ila leo kacomment kuna la kujifunza tusubili
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Watu kama hao huwa wana za ndani ndani maana mimi nilishiwa kabisa nyepesi nyepesiInabidi atupe details naona hajawai kucomment jf ila leo kacomment kuna la kujifunza tusubili
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tukiona mwezi umeisha bilabila ndio had wakumiWatu kama hao huwa wana za ndani ndani maana mimi nilishiwa kabisa nyepesi nyepesi
Mtu kakwambia juma 4 hadi Jumamosi then kasepa hajataka majibizano hapa tumuangalie sana
Huko kwenu sekta ya afya,. Huku kwetu changanyikeni ni purukushani tupu, muulizeni Kyagata na ile pepa ya katibu msaidizi wa bunge, ilionekana rahisi, watu walimaliza mwaswali yote, still highest ikawa 60+ kati ya candidet 1000+, walipita 32 tu, wengine wakaliwa vichwaaaa,.Kabisa utumishi ukiacha tu swali hawawezi kukuchua wale
😂😂😂😂😂Nacheka kama mazuri lakini poleni wakuuHuko kwenu sekta ya afya,. Huku kwetu changanyikeni ni purukushani tupu, muulizeni Kyagata na ile pepa ya katibu msaidizi wa bunge, ilionekana rahisi, watu walimaliza mwaswali yote, still highest ikawa 60+ kati ya candidet 1000+, walipita 32 tu, wengine wakaliwa vichwaaaa,.