Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Poa poa mkuuu ukiwa jobless unafanya vitu vingi vitu vikianza kutiki unaanza kuchanganyikiwa mfano baada ya kuona sipati kazi nikasema nirudi chuo mwaka huu Sasa hapa pia sielewi kama watakua hawajaniita sijui nikalipoti tu chuo mpka siku wakinitaa sijui nikaushe tu hahhahaa dah USHAURI

Nasikia duce wameanza kuita uko wanapigiwa simu
Jamani si watangaze tu kwenye portal, kwahvyo hapo hujapatikana imekula kwako😰
 
TA sio lazima uanze kusoma ukishaajiliwa inakuaga wanakupa muda kama miaka mitatu hivi lazima uwe umeanza kujiendeleza
Labda kwa vyuo ambavyo wanatoa kozi ngazi ya diploma (maana utakua unafundisha madogo wa diploma na hiyo bachelor yako).

Vinginevyo wakikusaidia sana wanakupa mwaka mmoja tu, uwe umeanza kusoma masters
 
Na wanaofundisha diploma kwenye vyuo vya kati wanaitwa TUTOR mfano veta, ADEM, vyuo vya Ualimu vitoavyo diploma n.k ila vyuo vikuu ndio uitwa TUTORIAL ASSISTANT japo wote sifa ni degree japo chuo kikuu wanaangalia na GPA wanataka ya 3.8 +
In addition to this, pia kuna ma tutorial assistants kwenye taasisi za elimu ya juu zisizokua vyuo vikuu ambao wanafundisha diploma.

Mifano ya taasisi hizi ni:-
NIT, DMI, ATC, CBE, IFM, CAWM, DIT, etc. Hawa hawatumii "ma tutors".
 
Duce wameweka majina kwenye website yao
Bora tu walivyoamua kujisimamia wenyewe kuliko kutegemea hawa wenye speed ya konokono

Kama wanasema siku ileile ya oral majina ya waliofaulu yanapatikana sasa kinachowasubirisha kutoa hyo majina ni nini?
Hopeless kiukukwel
Kongole kwao
 
Hizi taasisi za zinazojitegemea zingefanya huu mchakato wenyewe. Baada ya kupewa matokeo ya Interviews kutoka Utumishi watangaze matokeo yao. Kuwategemea Utumishi ni jipu wapo slow sana.
Hiki ni chuo nahisi wanapeleka fasta kutokana na kinatarajia kufunguliwa hivi karibuni so nahic wanataka wakamilishe haraka waanze kazi haraka pia.
 
Degree pale MUHAS
Mmmh hii ni very strange. Labda pengine walilazimika kufanya hivyo kutokana na uhaba wa watumishi kwa wakati huo.

Nafahamu kwamba unaongea hivyo kwa experience, hivyo sina mashaka kabisa na ukweli wa hii situation.

Hata hivyo, muongozo wa "maslahi, majukumu na vigezo au sifa za watumishi" wa Chuo kikuu MUHAS, yaani MUHAS SCHEME OF WORK 2013, unaeleza haya juu ya nafasi ya tutorial assistant.
Screenshot_20221007-080824_All Document Viewer.jpg

Majukumu yote hapo juu yanamtaka TA afanye kazi za "saidia fundi"
Kipengele cha pili kinamlazimisha akaongeze elimu.
 
Mmmh hii ni very strange. Labda pengine walilazimika kufanya hivyo kutokana na uhaba wa watumishi kwa wakati huo.

Nafahamu kwamba unaongea hivyo kwa experience, hivyo sina mashaka kabisa na ukweli wa hii situation.

Hata hivyo, muongozo wa "maslahi, majukumu na vigezo au sifa za watumishi" wa Chuo kikuu MUHAS, yaani MUHAS SCHEME OF WORK 2013, unaeleza haya juu ya nafasi ya tutorial assistant.
View attachment 2379368
Majukumu yote hapo juu yanamtaka TA afanye kazi za "saidia fundi"
Kipengele cha pili kinamlazimisha akaongeze elimu.
Wanaandika hivyo kwenye maelezo ila ukweli katika vyuo ni kua TAs wanafundisha undergraduates.
 
Mmmh hii ni very strange. Labda pengine walilazimika kufanya hivyo kutokana na uhaba wa watumishi kwa wakati huo.

Nafahamu kwamba unaongea hivyo kwa experience, hivyo sina mashaka kabisa na ukweli wa hii situation.

Hata hivyo, muongozo wa "maslahi, majukumu na vigezo au sifa za watumishi" wa Chuo kikuu MUHAS, yaani MUHAS SCHEME OF WORK 2013, unaeleza haya juu ya nafasi ya tutorial assistant.
View attachment 2379368
Majukumu yote hapo juu yanamtaka TA afanye kazi za "saidia fundi"
Kipengele cha pili kinamlazimisha akaongeze elimu.

Sasa tatizo lako liko wapi hapo?

Maana saidia fundi huyo anaingilia darasani kufundisha na ndicho alichokwambia jamaa ata niliposoma TA alikua anaingia kwenye zile tutorials akiwa peke yake na wakati mwingine anaingia na lecturer yeye anakaa pembeni akitoa usaidizi wa hapa na pale, so kiufupi naye anafundisha hao hao wanafunzi wa bachelor na ndo maaana kila siku wanaajiriwa, ingekuwa hakuna anachokifanya sidhani kama kungekuwa na uhitaji wao
 
Wanaandika hivyo kwenye maelezo ila ukweli katika vyuo ni kua TAs wanafundisha undergraduates.
You will never see something like that at the University of Dar es Salaam.

Kama unao ushahidi wowote, idara yoyote, somo lolote (kutoka UDSM), karibu.
 
Wakuu kwema?? Kwa bahati mbaya nimekandwa DUCE post ilikua ya mtu mmoja ivi kuhusu kanzidata kuna ukwel wowote maana naona kama sielewi vile mwenye kujua naomba muongozo wakuu
There's a next time usihofu endelea na mishe nyingine
 
Back
Top Bottom