Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Written niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzr
Embu fanya mambo mengine acha kuwaza hilo maisha lazima yaendelee bado ww ni kijana na kuna fursa nyingi nje so zitumie hizo fursa na wakati wa kupata ajira basi utapata.
 
Written niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzr
I feel you bro! Huenda matokeo ya written yalikufanya urelax na ku underestimate uliokua shortlisted nao, but hizo ni separate entities huenda wewe ulikua bora katika kuandika tu ila wenzio walikua vyema zaidi katika kuongea.

Just get ready for next opportunities na kujiandaa zaidi. Upo na mfadhaiko kwa sasa ila maisha lazima yasonge mbele brother.
 
I feel you bro! Huenda matokeo ya written yalikufanya urelax na ku underestimate uliokua shortlisted nao, but hizo ni separate entities huenda wewe ulikua bora katika kuandika tu ila wenzio walikua vyema zaidi katika kuongea.

Just get ready for next opportunities na kujiandaa zaidi. Upo na mfadhaiko kwa sasa ila maisha lazima yasonge mbele brother.
Nakuelewa sana mkuu
 
I feel you bro! Huenda matokeo ya written yalikufanya urelax na ku underestimate uliokua shortlisted nao, but hizo ni separate entities huenda wewe ulikua bora katika kuandika tu ila wenzio walikua vyema zaidi katika kuongea.

Just get ready for next opportunities na kujiandaa zaidi. Upo na mfadhaiko kwa sasa ila maisha lazima yasonge mbele brother.
Ni kweli.wakati wa Mungu ni wakati sahihi
 
basi kama ni hivyo haikuwa bahati yako tu usikate tamaa kiongozi tuendelee kupambana
Yani mkuu huenda haikua bahati tu maswali yalikua ya kawaida tu so magumu kutokana na presentation ulioifanya nilijibu ndio lakini huenda sikujibu hundred
 
Yani mkuu huenda haikua bahati tu maswali yalikua ya kawaida tu so magumu kutokana na presentation ulioifanya nilijibu ndio lakini huenda sikujibu hundred percent
Mambo ya ajira yana mambo meng mkuu...potezea t maisha yaende hope kuna kz nyingine utapata
 
Wanaandika hivyo kwenye maelezo ila ukweli katika vyuo ni kua TAs wanafundisha undergraduates.
Uko sahihi mkuu.

Tena unaweza kukuta hao TA wana uwezo mzuri tu wa kufundisha(nimewahi kushuhudia hili)
 
Wakuu kwema?? Kwa bahati mbaya nimekandwa DUCE post ilikua ya mtu mmoja ivi kuhusu kanzidata kuna ukwel wowote maana naona kama sielewi vile mwenye kujua naomba muongozo wakuu
Kama umefaulu vizuri oral(wao ndio wanajua) utahifadhiwa kwenye kanzidata, nafasi ikitokea kwenye taasisi yeyote wwtaangalia kama kuna watu wa akiba(kanzidata), wakikuta wapo mnapewa hizo nafasi.

Kwa sasa kwa kuwa hujui kuhusu hilo(kama ulifaulu vizuri ama la), endelea kupambana na posts zingine zitakazojitokeza
 
Kama umefaulu vizuri oral(wao ndio wanajua) utahifadhiwa kwenye kanzidata, nafasi ikitokea kwenye taasisi yeyote wwtaangalia kama kuna watu wa akiba(kanzidata), wakikuta wapo mnapewa hizo nafasi.

Kwa sasa kwa kuwa hujui kuhusu hilo(kama ulifaulu vizuri ama la), endelea kupambana na posts zingine zitakazojitokeza
Shukran sana mkuu japo kwa kada yangu tofauti na tutorial assistant nafasi zingine za kawaida huwa ni ngumu kutoka utumishi
 
Nadhani tunatofautiana tafsiri ya "kufundisha" kwa muktadha wa chuo kikuu, na mgawanyo wa majukumu baina ya ngazi mbalimbali za wahadhiri.

Kama kuongoza tutorials, seminars, kuelekeza practicals, kusimamia field excursions, kusaidia kufunga "projekta" nako ni kufundisha, mimi naishia hapa na kuungana na ninyi kwamba TA nayeye anafundisha wanafunzi wanaosoma bachelor.
Na kwa namna hiyo hata wale technical staffs (laboratory technicians, et al, na wao Wanafundisha). Tena hawa wengine wana diploma tu.

Kwa viwango, utaratibu na miongozo, kufundisha (kwa teaching staffs) ni lecturing and examining students.
Sasa ndio umeiweka vizuri na imeeleweka
 
Written niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzr
Kufaulu written(yaani kuwa selected) ni sawa na kufaulu form 4.

Ukifika Advance unaanza 1, hivyo hivyo ukifika oral inakuwa hivyo.

Kwa hiyo ulizingua oral.
 
Back
Top Bottom