Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
Shukrn mkuuAll the best comrade
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrn mkuuAll the best comrade
Examination officer practical ya nn? Hawa jamaa wahuni sana nadhani wameona watu wengi sana kwa idadi hiyo duuuh hatari nafasi 1 watu 596 aisee nchi ngumu hiiIla PSRS wanautani sana Niliomba nafasi ya EXAMINATION OFFICE II chuo cha ATC . Tumeitwa watu 596 wakati nafasi yenyewe ni moja tu pia ndiyo mara ya kwanza kuona nafasi hii ina saili tatu, ya kwanza ni WRITTEN mchujo, yapili ni VITENDO mchujo na yamwisho ndio ORAL . Ya written na oral ni kawaida kwa post hii ila vitendo ndio mara ya kwanza naona kwa post hii ya EXAMINATION OFFICE. kwa idadi ya watu 596 bora nauli yangu ya kutoka Dar to Chuga nishonee kaunda suti kwa ajili ya saili za mbeleni kama nikifanikiwa kufika oral[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Siku yako itakuja mkuu na utafurahi, hata hao nao huenda waliwahi kusema wangesomea kitu fulani ambapo siku haikuwa yao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh mkuu sipo pale naona ningesomaga hata sociology tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jobless mnapataje nguvu ya kuwa na makasiriko mkiangusha nyanya za watu mna ela ya kulipa?
Itakuwa jambo jema, ni bora upatiwe nafasi ya kukandwa written ila usiwe na wa kumlaumu maana written huwa inatuacha tukiwa wapole[emoji3][emoji3][emoji3]Lazima uwemo mkuu,hawana sababu ya kukukata.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dah mbona umenikata mood ase kote uko
Yawezekana nafasi zingine watawapatia watu toka kanzidata ya waliofanya oral SeptemberMDAs and LGAs hawajatoa kada zote au labda interview zipo kwa batches.
Mwezi wa sita mwishoniHivi hawa interview zao walifanya lini?
Ni sahihi mkuu, tusisahua kuombeana kwa kila aina ya Imani tuliyonayo, Muumba(mgawa mrija wa asali) atatenda miujiza.Sema wadau tusaidizane na kuombeana ingawaje hatujuani humu
Hahahahaa, mkuu nenda, zari linaweza likawa upande wako ukabahatika kuwekwa hata kwenye kanzi dataIla PSRS wanautani sana Niliomba nafasi ya EXAMINATION OFFICE II chuo cha ATC . Tumeitwa watu 596 wakati nafasi yenyewe ni moja tu pia ndiyo mara ya kwanza kuona nafasi hii ina saili tatu, ya kwanza ni WRITTEN mchujo, yapili ni VITENDO mchujo na yamwisho ndio ORAL . Ya written na oral ni kawaida kwa post hii ila vitendo ndio mara ya kwanza naona kwa post hii ya EXAMINATION OFFICE. kwa idadi ya watu 596 bora nauli yangu ya kutoka Dar to Chuga nishonee kaunda suti kwa ajili ya saili za mbeleni kama nikifanikiwa kufika oral[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwa ufatiliaji wangu, nimegundua mara nyingi wanaofanya/kuhudhuria saili za mchujo huwa ni nusu ya "shortlisted candidate" hasa kwa sail zetu zinazoita watu wengi. Asikate tamaa, aende apate na uzoefu wa kukabilia na saili zijazo kabla hajashona hiyo "kaunda".Hahahahaa, mkuu nenda, zari linaweza likawa upande wako ukabahatika kuwekwa hata kwenye kanzi data
Kila la kheri mkuu, kapambane.Wadau nimebahatika kuitwa interview kada ya TA ICT pale ATC mwenye exprience ya pepa ya practical naomba anipe abc
Ahsante sana Jobless mstaafu[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa PSRS Hawa mchezo mlitaka Wenyewe placement na call for interview Wanamwaga tu
NAWAOMBEA WAPAMBANAJI MKAFANYE VIZURI
pia mungu atie wepesi taasis zingine nazo zitangaze kazi wasiio na received nao wa apply kazi
Kweli mkuu.Kwa ufatiliaji wangu, nimegundua mara nyingi wanaofanya/kuhudhuria saili za mchujo huwa ni nusu ya "shortlisted candidate" hasa kwa sail zetu zinazoita watu wengi. Asikate tamaa, aende apate na uzoefu wa kukabilia na saili zijazo kabla hajashona hiyo "kaunda".
Hahaha still jobless siku nikiingia job nitakuja hapa kutoa ushuuda 🤣🤣Ahsante sana Jobless mstaafu[emoji3][emoji3][emoji3]
sio kila nafasi lazima muitweee... nyingine huchukuliwa watu wa DatabaseMbona nafasi ya Afisa Utumishi katika MDs na LGs zijaziona?, Pia nafasi ya Admission Officer ya Open hazipo. Miezi 5 tunapeana stress tu. Nchi hii.