Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ila PSRS wanautani sana Niliomba nafasi ya EXAMINATION OFFICE II chuo cha ATC . Tumeitwa watu 596 wakati nafasi yenyewe ni moja tu pia ndiyo mara ya kwanza kuona nafasi hii ina saili tatu, ya kwanza ni WRITTEN mchujo, yapili ni VITENDO mchujo na yamwisho ndio ORAL . Ya written na oral ni kawaida kwa post hii ila vitendo ndio mara ya kwanza naona kwa post hii ya EXAMINATION OFFICE. kwa idadi ya watu 596 bora nauli yangu ya kutoka Dar to Chuga nishonee kaunda suti kwa ajili ya saili za mbeleni kama nikifanikiwa kufika oral[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Examination officer practical ya nn? Hawa jamaa wahuni sana nadhani wameona watu wengi sana kwa idadi hiyo duuuh hatari nafasi 1 watu 596 aisee nchi ngumu hii
 
Jobless mnapataje nguvu ya kuwa na makasiriko mkiangusha nyanya za watu mna ela ya kulipa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Imagine uparamie dishi la nyanya la mchuuzi barabarani, sipati picha kwenye kashkash yake halafu huna hata senti mfukoni.

Jobless Mungu atunusuru!
 
Sasa PSRS Hawa mchezo mlitaka Wenyewe placement na call for interview Wanamwaga tu
NAWAOMBEA WAPAMBANAJI MKAFANYE VIZURI

pia mungu atie wepesi taasis zingine nazo zitangaze kazi wasiio na received nao wa apply kazi
 
Ila PSRS wanautani sana Niliomba nafasi ya EXAMINATION OFFICE II chuo cha ATC . Tumeitwa watu 596 wakati nafasi yenyewe ni moja tu pia ndiyo mara ya kwanza kuona nafasi hii ina saili tatu, ya kwanza ni WRITTEN mchujo, yapili ni VITENDO mchujo na yamwisho ndio ORAL . Ya written na oral ni kawaida kwa post hii ila vitendo ndio mara ya kwanza naona kwa post hii ya EXAMINATION OFFICE. kwa idadi ya watu 596 bora nauli yangu ya kutoka Dar to Chuga nishonee kaunda suti kwa ajili ya saili za mbeleni kama nikifanikiwa kufika oral[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hahahahaa, mkuu nenda, zari linaweza likawa upande wako ukabahatika kuwekwa hata kwenye kanzi data
 
Mkuu una mikeka mingi pending..

Jalia ukiitwa yote hiyo, kapambane hadi tone la mwisho la jasho, utatoboa
 
Hahahahaa, mkuu nenda, zari linaweza likawa upande wako ukabahatika kuwekwa hata kwenye kanzi data
Kwa ufatiliaji wangu, nimegundua mara nyingi wanaofanya/kuhudhuria saili za mchujo huwa ni nusu ya "shortlisted candidate" hasa kwa sail zetu zinazoita watu wengi. Asikate tamaa, aende apate na uzoefu wa kukabilia na saili zijazo kabla hajashona hiyo "kaunda".
 
Sasa PSRS Hawa mchezo mlitaka Wenyewe placement na call for interview Wanamwaga tu
NAWAOMBEA WAPAMBANAJI MKAFANYE VIZURI

pia mungu atie wepesi taasis zingine nazo zitangaze kazi wasiio na received nao wa apply kazi
Ahsante sana Jobless mstaafu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa ufatiliaji wangu, nimegundua mara nyingi wanaofanya/kuhudhuria saili za mchujo huwa ni nusu ya "shortlisted candidate" hasa kwa sail zetu zinazoita watu wengi. Asikate tamaa, aende apate na uzoefu wa kukabilia na saili zijazo kabla hajashona hiyo "kaunda".
Kweli mkuu.

Written yangu ya mwisho tulienda watu nusu ya shortlisted ingawa pia hilo lilichangiwa na watu kugawanyika kwenda kwenye written nyingine iliyopangwa muda sawa na niliyofanya
 
Mbona nafasi ya Afisa Utumishi katika MDs na LGs zijaziona?, Pia nafasi ya Admission Officer ya Open hazipo. Miezi 5 tunapeana stress tu. Nchi hii.
 
Back
Top Bottom