Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Muce mmeitwa kwenye usaili,mkakandane iringa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bado hawajashortlist, wataita tu, ila kama mshapiga oral ndio kuna tetesi za watu kupigiwa simuWakuu Latra washaitana kimya kimya nin..mbn toka july mpk leo hawajashortlist?zile post za QAO
Usiiuze, iweke iwe kumbu kumbu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii suti inabidi niiuze tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nje ya mada kidogo ya haya mapdf, hiyo avatar ni wewe??
😂😂😂😂😂Hahhhh nimeingia kwenye coloni lako mzee hahhh hii ni scramble and partition of utumishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jobless unakoelekea inabidi uwe chini ya uangalizi.
aiweke tu kabatini siku
hahahaa naomba mwifwa anisaidie kujibu hili😂😂😂😂😂Mkuu nje ya mada kidogo ya haya mapdf, hiyo avatar ni wewe??
mimi ni dume mkuu,achana na hiyo avatarMkuu, msikaze sana mtafanya watu wachizike. Wanawake wenye ajira wanataka wenye ajira wenzao, hata nyie msio na ajira mnataka tena wenye ajira! Hapana, hii sio haki.
😂😂😂hebu weka avatar yakiume sasa mnatuchanganyamimi ni dume mkuu,achana na hiyo avatar
Umeongea kwa uchungu mkuu🤣🤣🤣🤣Mkuu, msikaze sana mtafanya watu wachizike. Wanawake wenye ajira wanataka wenye ajira wenzao, hata nyie msio na ajira mnataka tena wenye ajira! Hapana, hii sio haki.
Tusifike huko bro.😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hii suti inabidi niiuze tu
Jua linawaka😂
😂😂😂hebu weka avatar yakiume sasa mnatuchanganya
😂😂😂😂Kwahiyo niendelee kuinyoosha tu mzee??Tusifike huko bro.😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Unakuta manzi yeye ni jobless afu anataka mwenye kazi sasa sisi jobless tupendwe na nani??Mkuu, msikaze sana mtafanya watu wachizike. Wanawake wenye ajira wanataka wenye ajira wenzao, hata nyie msio na ajira mnataka tena wenye ajira! Hapana, hii sio haki.
Haya mambo haya, naomba nitoe ushuhuda, me kipindi nipo chuo nlikuwa na hela mno, ni hivi vibiashara vyangu na kidogo walezi wangu walikuwa vizuri na elimu wanaithamini sana. Nlikuwa na boy friend wangu akiniomba 5000, 10,000 sion shida kumpa. Kidogo kwao hawakuwa vizuri na yeye ndo first born, vitu vya ndani nanunua nampa, akija hostel namchambulia vitu nampa, hadi nlimpa jiko la umeme awe anapikia kwake maana chuo warden alikaza. Inshort nlimbeba sana. Nauli za chuo nampa hapo yeye ndo anasoma CPA. Aisee baadae akalamba asali bana TRA, kama custom officer, na mimi nkamaliza chuo maisha yakanipiga, akabadilika kabisa kabisa, nkawa nalia na mapenzi wee[emoji23][emoji1787], akahamishiwa Dar nkahisi labda shida ilikuwa long distance rship, Dar wakamuweka TPA, aisee na mapenzi yakaisha kabisa na mimi nkasema hamna changu hapa, kama ni pesa najua kuitafuta. From then aisee nkajisemea kumbe haya mambo sio ya wadada peke yao. Ata mdada unaweza mvumilia jobless mwenzio hapa akilamba asali tu ndo anakuonaje sijui [emoji1787]. Kikubwa upendo tu.Uko sahihi sana, sisi mtu akiwa na ajira mara nyingi anatafuta mwanamke asiye na ajira au mwenye ajira duni.
Hawa wenzetu ukioa au kuwa na aliyekuzidi kipato wanadharau sana.
😂😂😂😂Hapo namujibu niliitwa lakini jina langu walilikata nikawafata mpaka ofisini kwaoUsiiuze, iweke iwe kumbu kumbu.
Siku ukitusua utakuwa unajikumbusha ulikotoka kwa kuhadithia.
Utakuwa unasema "Wajukuu zangu enzi zetu tunahangaika kutafuta kazi, niliwahi kuandaa suti ili nije nikachukue barua ya kazi baada ya kufanya usahili wa mahojiano, ila sikuitwa hadi takribani miezi 10 ikapita, na sikukataa tamaa nikawa nainyoosha suti kila inapoonekana kupata makunyanzi ikiwa kabatini"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo kwa yule mjukuu mdadisi, atakupiga swali.
"Eti Babu kwahiyo uliitwa au ilikuwaje?"
😂😂😂😂😂Asa sindo utukubali jobless wenzio tuanze from scratchHaya mambo haya, naomba nitoe ushuhuda, me kipindi nipo chuo nlikuwa na hela mno, ni hivi vibiashara vyangu na kidogo walezi wangu walikuwa vizuri na elimu wanaithamini sana. Nlikuwa na boy friend wangu akiniomba 5000, 10,000 sion shida kumpa. Kidogo kwao hawakuwa vizuri na yeye ndo first born, vitu vya ndani nanunua nampa, akija hostel namchambulia vitu nampa, hadi nlimpa jiko la umeme awe anapikia kwake maana chuo warden alikaza. Inshort nlimbeba sana. Nauli za chuo nampa hapo yeye ndo anasoma CPA. Aisee baadae akalamba asali bana TRA, kama custom officer, na mimi nkamaliza chuo maisha yakanipiga, akabadilika kabisa kabisa, nkawa nalia na mapenzi wee[emoji23][emoji1787], akahamishiwa Dar nkahisi labda shida ilikuwa long distance rship, Dar wakamuweka TPA, aisee na mapenzi yakaisha kabisa na mimi nkasema hamna changu hapa, kama ni pesa najua kuitafuta. From then aisee nkajisemea kumbe haya mambo sio ya wadada peke yao. Ata mdada unaweza mvumilia jobless mwenzio hapa akilamba asali tu ndo anakuonaje sijui [emoji1787]. Kikubwa upendo tu.
Nyoosha mzigo huo baba marufuku kukata tamaa😂😂😂😂😂Kwahiyo niendelee kuinyoosha tu mzee??
Mimi natafuta maisha sasa hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asa sindo utukubali jobless wenzio tuanze from scratch
Maisha kitu gan wewe mkiwa wawili majobles mtasaidiana huko🤣Mimi natafuta maisha sasa hivi[emoji23][emoji23]