Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

😂😂😂😂amna yule alikuwa hajui kweli mzee hata kama alitupita labda kwa marksi chache sana
Heeee mie Kuna demu alihamiaga form two akawa anaulizaga maswali ya kiboya sana nikajua hakuna akili hapa nikamtogoza aisee ili nimdanganye najua vitu 🤣🤣 majibu yake nikagundua anaakili sana alikua anasoma upepo yule demu alitukanda Toka form two mpaka tunamaliza shule 🤣🤣🤣 na kunikataa akanikataa juu
 
Heeee mie Kuna demu alihamiaga form two akawa anaulizaga maswali ya kiboya sana nikajua hakuna akili hapa nikamtogoza aisee ili nimdanganye najua vitu 🤣🤣 majibu yake nikagundua anaakili sana alikua anasoma upepo yule demu alitukanda Toka form two mpaka tunamaliza shule 🤣🤣🤣 na kunikataa akanikataa juu
Kijana una ufala mwingi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Siku nyingine usidanganywe hivyo Kuna mademu yana jua yanavunga hayajui shauri Yako demu aliaanza kukukanda nje kwanza kabla ya psrs hawajakukanda 🤣🤣
Mademu Yana trick sana,alikua anatafuta sympathy huyo pia alikua anata urelax uone ushaumaliza mchezo🤣🤣🤣🤣
 
Heeee mie Kuna demu alihamiaga form two akawa anaulizaga maswali ya kiboya sana nikajua hakuna akili hapa nikamtogoza aisee ili nimdanganye najua vitu 🤣🤣 majibu yake nikagundua anaakili sana alikua anasoma upepo yule demu alitukanda Toka form two mpaka tunamaliza shule 🤣🤣🤣 na kunikataa akanikataa juu
😂😂😂😂😂😂Hahhhhh kwahyo anakuuliza anakupima upepo tu aseeh nilishangaa sana kuona amepata
 
Ndoige imemkuta na yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio hivyo aisee akarudi zake kuendelea na kujitolea.

Halafu ndio aliomba hiyo post tu, zingine(ORCI, MNH, NAOT) sikumuona labda aliamini atapata huko anakojitolea ila PSRS walijichukulia point kiulaini.

Miongoni mwao mmoja tu ndio niliambiwa alifika oral, ngoja tusubiri placement tuje tuone kama kapita au la
 
Back
Top Bottom