๐๐๐๐๐baba jeni bye bye chiiiiiiiiih amna mwanangu status hazina maana mzeeAisee wazee wa shortlisted mmeshinda...sie wa selected for oral tuendlee kupambana wakati wetu bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐baba jeni bye bye chiiiiiiiiih amna mwanangu status hazina maana mzeeAisee wazee wa shortlisted mmeshinda...sie wa selected for oral tuendlee kupambana wakati wetu bado
Kaka wewe umeumaliza wewe hii ya shortlisted tuachie sisi huku tubishane sasa๐๐๐๐๐hahhhhhSina uhakika sana mkuu, ila hivyo ndo inaonyesha huku kwangu, tusikate tamaa, tuzidi kuomba na kujaribu kwa nguvu zote
Natamani siku moja nipate furaha kama uliyonayo Sasa aseehSina uhakika sana mkuu, ila hivyo ndo inaonyesha huku kwangu, tusikate tamaa, tuzidi kuomba na kujaribu kwa nguvu zote
Status ipoje mkuu tupe feedbackNimekula NDOIGE moja kubwa sana
Sema usikate tamaa mzee wakati wako unakujaNimekula NDOIGE moja kubwa sana
Ngoja nichekStatus ipoje mkuu tupe feedback
Poa poa cheki tuwe na uhakika sasaNgoja nichek
Ipo vilevile shortlistedStatus ipoje mkuu tupe feedback
Upo data base mzee na kwenye app ipoje??Ipo vilevile shortlisted
IT nadhani inabaki selected for oral tuMi nataka ushuhuda wa mtu wa ict au aliefnya saili 3 aje aseme kama ana shortlisted au selected for oral na kapata kz
Aisee nimejikuta nafurah kwa ajili yako brooo,hongera Sana sana.kila la khery bro..how do you feel by the wayNaomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
๐๐๐๐apo bado anawapa taarifa nyumbani aseeh Jambo la furaha hiliAisee nimejikuta nafurah kwa ajili yako brooo,hongera Sana sana.kila la khery bro..how do you feel by the way
Ngoja aje shuhuda ๐คฃ๐คฃIT nadhani inabaki selected for oral tu
Nchi aisee inatutsa sn vjna yn ajira unafrhia kama sjui nn daah maisha haya sio poa๐๐๐๐apo bado anawapa taarifa nyumbani aseeh Jambo la furaha hili
๐๐๐๐Zilizotoka leo pale hamna wa IT acha preshaNgoja aje shuhuda ๐คฃ๐คฃ
Jobless anadhalaurika sana mtaani๐๐Hii
Nchi aisee inatutsa sn vjna yn ajira unafrhia kama sjui nn daah maisha haya sio poa
Haha ee pale hamna...mec atakuja kunisaidia kunipa matumaini๐๐๐๐Zilizotoka leo pale hamna wa IT acha presha