Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kukosa nauli,kusoma na kwenda kupigwa.Kulala stand,kulala njaa.Yaani ni balaa tupu..
Tulitakiwa tumalize kila kitu kwa kanda (Kanda ziongezeke), unasafiri kwa kuunga unga, unafika usiku, unalala stand tena na njaa, unafanya usairi na njaa, alafu unasubiri siku 2 matokeo uku hujui utalala wapi na utarudi kwenu vipi.

Alafu unashindana na mtoto wa mkubwa alieletwa na gari na kulala hotelini. Kama serikali (WIZARA YA ELIMU) imekataa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora kwa kuwa tu hao wanafunzi wanatofautiana sana kwa Mazingira ya kusoma na kipato, basi pia Written na Oral interview zifanywe kwa kanda zote ili tuwe ushindanishaji ulio sawa.

Pia haina haja ya kumtesa mtu hadi Dodoma kwa interview ambayo hana uhakika ya kwamba ataipata, afanye karibu ya eneo lake arudi nyumbani kuendelea na maisha yake.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Tulitakiwa tumalize kila kitu kwa kanda (Kanda ziongezeke), unasafiri kwa kuunga unga, unafika usiku, unalala stand tena na njaa, unafanya usairi na njaa, alafu unasubiri siku 2 matokeo uku hujui utalala wapi na utarudi kwenu vipi. Alafu unashindana na mtoto wa mkubwa alieletwa na gari na kulala hotelini. Kama serikali (WIZARA YA ELIMU) imekataa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora kwa kuwa tu hao wanafunzi wanatofautiana sana kwa Mazingira ya kusoma na kipato, basi pia Written na Oral interview zifanywe kwa kanda zote ili tuwe ushindanishaji ulio sawa. Pia haina haja ya kumtesa mtu hadi Dodoma kwa interview ambayo hana uhakika ya kwamba ataipata, afanye karibu ya eneo lake arudi nyumbani kuendelea na maisha yake.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Kumbuka unatafuta kazi Mkuu, kila mtu anayo historia yake kama ume afford kufika wewe muombe Mungu fanya interview kwa umakini mkubwa fanikiwa endelea na maisha.

Unachokisema kina make sense lakini kwasasa huenda kisitekelezwe kwa wakati so badala ya kutumia muda kulalamika hebu tumia muda kujiandaa na ku faulu interview.
 
Tulitakiwa tumalize kila kitu kwa kanda (Kanda ziongezeke), unasafiri kwa kuunga unga, unafika usiku, unalala stand tena na njaa, unafanya usairi na njaa, alafu unasubiri siku 2 matokeo uku hujui utalala wapi na utarudi kwenu vipi. Alafu unashindana na mtoto wa mkubwa alieletwa na gari na kulala hotelini. Kama serikali (WIZARA YA ELIMU) imekataa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora kwa kuwa tu hao wanafunzi wanatofautiana sana kwa Mazingira ya kusoma na kipato, basi pia Written na Oral interview zifanywe kwa kanda zote ili tuwe ushindanishaji ulio sawa. Pia haina haja ya kumtesa mtu hadi Dodoma kwa interview ambayo hana uhakika ya kwamba ataipata, afanye karibu ya eneo lake arudi nyumbani kuendelea na maisha yake.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Katika huu ulimwengu wa kibepari, don't expect mtu akuonee huruma.just pambana tu
 
Back
Top Bottom