Sawa the issue is mbona wameeeka tarehe moja tu ndo naulza apoTRA inapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuanzia tarehe 27 Mei 2023
mpaka 09 Juni, 2023 kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kwa hatua mbalimbali kuanzia tarehe ...
Key word hapo ni hatua mbali mbali. Means kuna hatua zaid ya 1.
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app