Kijiji cha Wajinga
Member
- Dec 7, 2019
- 90
- 277
Kila mtu ana mawazo yake juu ya jambo fulani. Mawazo yako tunayaheshimu.Watu walioingia huko kwa jinsi yake ni wachache sana dhidi ya wengi walioingizwa huko kwa connection. Na nyie wachache hutumiwa kuwafumba watu macho!! Lakini hata hivyo, hoja ya msingi ni kutaka kuwatenga waombaji wengine walio nje ya NSSF kwa sasa!! Hao ma-intern wasiepushiwe ushindani kwa kuwatenga na kuwazuia waqombaji wengine!!