Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hawa NSSF wahuni sana tangu nianze kufuatia ajira psrs, sijawahi kuona wanatangaza kazi yeyote wala ata kuchukua database, nikawa najiuliza inamaana hawa jamaa wamejitosheleza kwa upande wa watumishi, kumbu magumashi tu.
Na hutokuja kuona tangazo lao likiwekwa PSRS
 
Hawa NSSF wahuni sana tangu nianze kufuatia ajira psrs, sijawahi kuona wanatangaza kazi yeyote wala ata kuchukua database, nikawa najiuliza inamaana hawa jamaa wamejitosheleza kwa upande wa watumishi, kumbu magumashi tu.
Mkuu kuna madudu makubwa sana yanayotendeka. hapo NSSF naona kutakuwa kumejazana ukoo wa Mtu hapo
 
Sema sijuh huwa kiprotocal ipoje, sasa ajira inataka watu wa ndani tuh, sasa kuna faida gani kuweka public na sisi watu wa nje kuona wakati majority hatuhusiki??

Ingekuwa ina tangazwa ndani kwa ndani wakapambana nazo walengwa.
Nami nilishajiwazia hili, hivi Kuna haja gani kututangazia umma, wao wangetangaziana internal hukohuko,
 
Back
Top Bottom