Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Samahanii ndugu zangu mm nimeitwa usailii TRA kada ya civil engineering technician Sasa nipo najiulizaa je?maswali watatoa yanayohusiana na fanii tuu au wataleta hata yanayohusiana na Mambo ya Kodi,na vpy civil technician ambao wapo Tra wanafanya majukumu ganii?? Mwenye kufahamu anisaidiee wakuu
 
Samahanii ndugu zangu mm nimeitwa usailii TRA kada ya civil engineering technician Sasa nipo najiulizaa je?maswali watatoa yanayohusiana na fanii tuu au wataleta hata yanayohusiana na Mambo ya Kodi,na vpy civil technician ambao wapo Tra wanafanya majukumu ganii?? Mwenye kufahamu anisaidiee wakuu
Nakushauri rejea tangazo la kazi kisha soma vizuri majukumu ya kazi husika nadhani utapata pa kuanzia.
 
[emoji2955]
Screenshot_20230919-202022-1.jpg


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom