Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu kwema?? Hii imekaaje wakuu tumepiga written leo utumishi lakini kwenye account tumeandikiwa not selected wakati PDF la marks hawajatoa hii imekaaje asee na paper kiukweli ilikuwa normal tu na oral ni baadae leo samoja asubuhi hii imekaaje au Kuna mtu humu alishakumbana na hii Hali kwanini wasitoe PDF la marks???????
Hiyo status imebadilika pote kwenye app na web ?
 
Daaaaah hakuna kipindii niliumia Sana kama kuona status NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW wakatii nimetumia pesaa karibiaa lakii mbilii kusafiri na kukaa Dodoma,nimesomaa kwa zaidii ya miezii miwilii,it was so painful for me, Namuomba Mungu anisaidiee siku moja nilambe asali nisahau Yale maumivu
Pole sana, mdogo wangu alipigwa hizi not selected for oral interview hadi akakata tamaa na ilifikia hadi mtoto wa aunt yangu akawa anamtania binti wa not selected maandishi mekundu upo lakini selected for oral moja tu ilimpa kazi sa hivi yupo tra simiyu huko...na alipiga interview nyingi sana tangu 2019 kaja kupata 2023 hivyo usikate tamaa kiongozi haya mambo yanaumiza sana hata akiwa ndugu yako wa karibu anapitia.....
 
Pole sana, mdogo wangu alipigwa hizi not selected for oral interview hadi akakata tamaa na ilifikia hadi mtoto wa aunt yangu akawa anamtania binti wa not selected maandishi mekundu upo lakini selected for oral moja tu ilimpa kazi sa hivi yupo tra simiyu huko...na alipiga interview nyingi sana tangu 2019 kaja kupata 2023 hivyo usikate tamaa kiongozi haya mambo yanaumiza sana hata akiwa ndugu yako wa karibu anapitia.....
Nashukuru saana mkuu Kwa kunitia moyo
 
Daaaaah hakuna kipindii niliumia Sana kama kuona status NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW wakatii nimetumia pesaa karibiaa lakii mbilii kusafiri na kukaa Dodoma,nimesomaa kwa zaidii ya miezii miwilii,it was so painful for me, Namuomba Mungu anisaidiee siku moja nilambe asali nisahau Yale maumivu
I assure you, usikate tamaa endelea kupambana.. utatoboa..cha msingi jifanyie tathmini ni kipi kilikufanya ukashindwa kupenya kwenda oral?
 
Jamani Mwifwa Twinawe na wengine na naomba kuuliza swali mwajiri anapokuambia urudi nyumbani baada ya kureport kazini alafu mwezi na wiki vinakatika bila kuitwa hii inakuwa na tafsiri gani?
Atakuita akimaliza taratibu za ajira yako.

Kuwa na subira, wewe tayari ni mtumishi wa umma. Wengine walipokea hadi mishahara ilihali wakiwa bado wapo nyumbani baada ya kuambiwa watapigiwa simu
 
Mkuu Mwifwa, nataka kujiunga na portal ya PSSSF,, hebu nisanue hapa nafanyaje
Sisi tuliletewa fomu tukajaza, zikakusanywa na kupelekwa.

Sijui ishu ya hiyo portal kabisa.

NOTE: Tujitajidi kujenga uchumi kwa kadri tuwezavyo hata kama tunakatwa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, ili baadae tukijaliwa kufika umri wa kustaafu tusianze kuhangaika na Mafao badala yake uchumi tuliojenga ndio tuishi humo humo(yaani hata usipopata mafao isiwe shida kwa sababu kikokotoo ni miyeyusho sana nchi hii na hatujui huko mbeleni mambo yatakuwaje)
 
Asalaam aleikum Wapambanaji 💪,

Nawasalimu tu na kuwatia moyo kuwa kamwe msichoke kupambana na kuitafuta ridhiki huku ukimtanguliza Mungu kwenye kila hatua ili kuyafikia malengo.

Ukiona leo mwenzako kapata nafasi/asali unatakiwa kufanya ni kupiga moyo konde (kuwa na subira) huu ukijinenea kwa kujisema kuwa pdf ijayo bila shaka na Mimi nitakuwepo.

Mungu hawapi watu wote kwa kwa wakati mmoja bali kila mtu kwa wakati wake.

Kila la kheri na tuko pamoja.

Amin.
 
Pole sana, mdogo wangu alipigwa hizi not selected for oral interview hadi akakata tamaa na ilifikia hadi mtoto wa aunt yangu akawa anamtania binti wa not selected maandishi mekundu upo lakini selected for oral moja tu ilimpa kazi sa hivi yupo tra simiyu huko...na alipiga interview nyingi sana tangu 2019 kaja kupata 2023 hivyo usikate tamaa kiongozi haya mambo yanaumiza sana hata akiwa ndugu yako wa karibu anapitia.....
Hakika watu wasikate tamaa kabisa mda ukifika unalamba asali tu
 
Kuna siku taleta kisa changu humu Cha kupambana kutafuta ajira serikalini na kuachana na NG'Os na kampuni zozote,,,,,,,, ushauri tu kijina yoyote jitahidi sana upate kazi serikalini huko kwingine ni kwa hovyo sana
 
Back
Top Bottom