Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 909
- 3,476
Vijana kazeni moyo hakujawahi kuwa na kitu inaitwa FAIL you either WIN or LEARN.
Kama hautafaulu basi utajifunza lakini si kufeli
Kama hautafaulu basi utajifunza lakini si kufeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana mkuu kwa kunitia moyoHakuna linaloshindikana mwamba Mimi pia nilikuwa najiandaa lakini nikienda kupiga pepa naishia written tu nilikuwa naumia sana lakini ni mwaka huu nimepiga moja tu nikalamba asali usikate tamaa mdau
Hiyo status imebadilika pote kwenye app na web ?Wakuu kwema?? Hii imekaaje wakuu tumepiga written leo utumishi lakini kwenye account tumeandikiwa not selected wakati PDF la marks hawajatoa hii imekaaje asee na paper kiukweli ilikuwa normal tu na oral ni baadae leo samoja asubuhi hii imekaaje au Kuna mtu humu alishakumbana na hii Hali kwanini wasitoe PDF la marks???????
Ww uliitwa baada ya mda gani mkuuKuwa mpole....utaitwa tu..
Hehehehe...tunasubiria tuone vita kati ya Intern,Baba kanituma na hustlersWataitwa tu mkuu
Hiivita ni ngumuu mnooHehehehe...tunasubiria tuone vita kati ya Intern,Baba kanituma na hustlers
Pole sana, mdogo wangu alipigwa hizi not selected for oral interview hadi akakata tamaa na ilifikia hadi mtoto wa aunt yangu akawa anamtania binti wa not selected maandishi mekundu upo lakini selected for oral moja tu ilimpa kazi sa hivi yupo tra simiyu huko...na alipiga interview nyingi sana tangu 2019 kaja kupata 2023 hivyo usikate tamaa kiongozi haya mambo yanaumiza sana hata akiwa ndugu yako wa karibu anapitia.....Daaaaah hakuna kipindii niliumia Sana kama kuona status NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW wakatii nimetumia pesaa karibiaa lakii mbilii kusafiri na kukaa Dodoma,nimesomaa kwa zaidii ya miezii miwilii,it was so painful for me, Namuomba Mungu anisaidiee siku moja nilambe asali nisahau Yale maumivu
Nashukuru saana mkuu Kwa kunitia moyoPole sana, mdogo wangu alipigwa hizi not selected for oral interview hadi akakata tamaa na ilifikia hadi mtoto wa aunt yangu akawa anamtania binti wa not selected maandishi mekundu upo lakini selected for oral moja tu ilimpa kazi sa hivi yupo tra simiyu huko...na alipiga interview nyingi sana tangu 2019 kaja kupata 2023 hivyo usikate tamaa kiongozi haya mambo yanaumiza sana hata akiwa ndugu yako wa karibu anapitia.....
I assure you, usikate tamaa endelea kupambana.. utatoboa..cha msingi jifanyie tathmini ni kipi kilikufanya ukashindwa kupenya kwenda oral?Daaaaah hakuna kipindii niliumia Sana kama kuona status NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW wakatii nimetumia pesaa karibiaa lakii mbilii kusafiri na kukaa Dodoma,nimesomaa kwa zaidii ya miezii miwilii,it was so painful for me, Namuomba Mungu anisaidiee siku moja nilambe asali nisahau Yale maumivu
Atakuita akimaliza taratibu za ajira yako.
Mkuu Mwifwa, nataka kujiunga na portal ya PSSSF,, hebu nisanue hapa nafanyajeAtakuita akimaliza taratibu za ajira yako.
Kuwa na subira, wewe tayari ni mtumishi wa umma. Wengine walipokea hadi mishahara ilihali wakiwa bado wapo nyumbani baada ya kuambiwa watapigiwa simu
Sisi tuliletewa fomu tukajaza, zikakusanywa na kupelekwa.Mkuu Mwifwa, nataka kujiunga na portal ya PSSSF,, hebu nisanue hapa nafanyaje
mkuu kwema, ushasahau kabisa hizi ishu za psrsMkuu Mwifwa, nataka kujiunga na portal ya PSSSF,, hebu nisanue hapa nafanyaje
Asante sana mwamba!!!!Hongera sana mwamba
Hakika watu wasikate tamaa kabisa mda ukifika unalamba asali tuPole sana, mdogo wangu alipigwa hizi not selected for oral interview hadi akakata tamaa na ilifikia hadi mtoto wa aunt yangu akawa anamtania binti wa not selected maandishi mekundu upo lakini selected for oral moja tu ilimpa kazi sa hivi yupo tra simiyu huko...na alipiga interview nyingi sana tangu 2019 kaja kupata 2023 hivyo usikate tamaa kiongozi haya mambo yanaumiza sana hata akiwa ndugu yako wa karibu anapitia.....