Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawawez paka uwe na barua maalum km huyo mtu kwa sasa ana tatzo ambalo linafanya asiweze kutembeaUkiagiza MTU akakuchulie barua ya kupangiwa kituo cha kazi pale utumishi wanatoa?
Hongera sana mpambaji wa cpaHabari za muda huu
Na mimi nimelamba asali
Alhamdulilah
Namshukuru sana mwenyezimungu hatimaye IT leo kaposti pdf yenye jina langu. ( nimelamba asali).
Nawashukuru wataalamu wangu wote kwa sapoti yenu.
Kauli mbiu ni ileile tusikate tamaa bila shaka wadau wa huu uzi wote tutapata placement kwa idhini ya muumba.
Mwenyezimungu Awaongozeni, awabariki na azifurahishe nyoyo zenu.
Mkuu vp DUCE mambo mazurii?Ukiagiza MTU akakuchulie barua ya kupangiwa kituo cha kazi pale utumishi wanatoa?
Hata siku moja wanaeza hata kukutukanaUkiagiza MTU akakuchulie barua ya kupangiwa kituo cha kazi pale utumishi wanatoa?
Habari za muda huu
Na mimi nimelamba asali
Alhamdulilah
Namshukuru sana mwenyezimungu hatimaye IT leo kaposti pdf yenye jina langu. ( nimelamba asali).
Nawashukuru wataalamu wangu wote kwa sapoti yenu.
Kauli mbiu ni ileile tusikate tamaa bila shaka wadau wa huu uzi wote tutapata placement kwa idhini ya muumba.
Mwenyezimungu Awaongozeni, awabariki na azifurahishe nyoyo zenu.
shukran sana ayseee nitafanyia kazi ushauri wako na wa wadau woteHongera sana mkuu Stelingi
Hii haikuwa siri, bali ni jambo la wazi (dhahiri bin shahir) kuwa wakati wako wa kuingia katika payrol ya serikali ulikaribia. Uvumilivu wako, juhudi zako, mapambano, ushirikiano na wengine na kufurahia mafanikio ya wengine ilikuwa ni ishara tosha kuwa wakati wako upo karibu.
Katimize majukumu yako kwa moyo wako wote, ipende kazi yako pia nayo itakuletea matunda katika maisha yako. Zingatia kufuata Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma pale unapotimiza majukumu yako na pia katende haki.
Furahia mafanikio haya pamoja na jamaa zako wa karibu kuweka kumbukumbu hii isiyo futika katika utafutaji wako wa kazi. Pia, kumbuka kutoa Shukrani na kusaida makundi yenye uhitaji katika jamii inayokuzunguka kama vile watoto yatiima na wazee.
Hongera sana kaka, hata kitambaa cha ukapteni hujakizoea tayari umeshakiachia 😀 😀
😄😄😄😄😄 hatari sana jamaa angu. IT ni mtu wetu sana, Kikubwa subira tu.Mkuu steling mshtue IT na chapati za motoo🤣🤣🤣🤣 azidi kushusha mapdf
Kweli mkuu hali ni tete. Wanakaaje kimya mda wote huu. Wanasahisha nini?? Watoe hayo matokeo tujue. Na hapo utashangaa kuitwa kazini mwakaniiii mwezi wa sitaItakua KIdata labda anasahisha wenyewe kajifungia chumbani au HRs wapo busy kupika matokeo kwa wasailiwa wanaowataka. HAIWEZEKANI, waondoe utaratibu @sekritarietiyaajira kwa kigezo cha kuchelewesha mchakato, then wao wasahihishe mitihani kwa zaidi ya mwezi moja. Si wangewauliza hata sekritariati huwa wanaalika watu gani kusahihisha na hata wakatumia muda mfupi
Nlikuwa na shauri kuwa kwa waliofaulu yaani kupata kazi. Watope na sisi tips za oral walizotumia kwa uwezo wa Mungu mpka wakapata job.
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Hakika Huyu mama bwana Tuache tu unafiki kila mtu na mapungufu yake lakini kwa kile alichojifanya Mungu ammbaruki sana huyu mamaMama samia suluhu hassan amewaheshimisha jobless apewe maua yake kwenye hili vyuma vilikaza sana kwa jobless
Ni sahihi sana tunamshukuru sana Mungu kwa ajili yake Mama Samia, maana hali ilikuwa tete, nikikumbuka mwaka 2021 nafasi 6 za customs officer TRA , Interview candidates 15,000 hali ilikuwa mbaya sana , ila angalau kwa miaka miwili hii ya Mama vijana tumetoka sana kitaa.Hakika Huyu mama bwana Tuache tu unafiki kila mtu na mapungufu yake lakini kwa kile alichojifanya Mungu ammbaruki sana huyu mama
Hiki kipindi Cha mama ni Cha kuomba kwa wingi amewatoa wengi katika ujoblessNi sahihi sana tunamshukuru sana Mungu kwa ajili yake Mama Samia, maana hali ilikuwa tete, nikikumbuka mwaka 2021 nafasi 6 za customs officer TRA , Interview candidates 15,000 hali ilikuwa mbaya sana , ila angalau kwa miaka miwili hii ya Mama vijana tumetoka sana kitaa.