El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
serikali kuifuta hawawezi..Yani wanatoa vimajina kwa kujisikia.. watu wamefanya interview Oktoba jamaa wapo kimya ila wa November wanalamba asali.
Hii taasisi ni moja ya majipu kwenye nchi hii, soon serikali itaifuta.