El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
🤣 🤣 kada tu huioni sasa jina si ndo mpaka al qyuiama..Ila utumishi mtatuuwa, mbona kada yangu kila mkeka sioni jina lolote dah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 kada tu huioni sasa jina si ndo mpaka al qyuiama..Ila utumishi mtatuuwa, mbona kada yangu kila mkeka sioni jina lolote dah.
Safi sana, huku taka kukawia [emoji23], good news sana hizi
Ok labda nitajaribu kwa wakati mwengine ku-login
Hyo yahitaji Ku log in kila maraNaombeni msaada, profile yangu ktk application ya ajira portal ipo 0.0%, lakini ktk web ipo sawa (95%) shida ni nini hapo
Ni direct.Hongera mkuu.hii ni direct mkuu sio database?Web na app zinasemaje pia?selected for oral ama?
Direct sio data base.Kwaiyo mwanetu ni kutoka database au?
Mshukuru Mungu kwa ulichopata, ndo mkate wako huo! Jitahidi kucheza na fursa nje ya ajira yako. Nakuambia utakuja kuwashangaza wengi.Asee hongereni sana wadau
Kuna watu wanaramba asali sehemu hadi unawaonea wivu japo tayari nipo kwenye ajira ila yangu sio asali ni masega.
Mpaka natamani siku zirudi nyuma nibadili kada.
Hongereni sana wadau
Si kweli...si lazima ujibu vipengele vyote vya swali ili ufaulu usaili. Mfano swali linataka utaje vitu vitano (5). Maana yake hapo kila item katika hizo tano ina marks yake.Nisahihi ni kwamba kuna mwenzangu kasema ikiwa hukujibu point 1 kati ulizoulizwa swali zima unafutiwa asee had kanitisha
Ni direct.
Status ni selected for oral both app and web.. haijawahi badirika toka nimepiga oral
Mtabaki database then mtapangiwa sehemu zingine.Wale wa Kibaha Education center bado tunamawazo, It waulize utumishi, maana tumefanya oral na Taasisi imevunjwa
hatar sanaWale wa Kibaha Education center bado tunamawazo, It waulize utumishi, maana tumefanya oral na Taasisi imevunjwa
NDUGU ZANGU MACHOZI YA FURAHA YAMENITIRIRIKA, HATIMAE MUNGU AMESIKIA DUA ZANGU [emoji120][emoji120], WAKUU NIMETOBOA
Kwahiyo Kibaha high school itakuwa kama shule nyingine tuu za serikali.Mtabaki database then mtapangiwa sehemu zingine.
Nawaza hivi
Duh! Kazi zetu n za kufundisha na walisema sekondari zipo palepale, hakuna andiko la kuwa zimepelekwa TamisemiMtabaki database then mtapangiwa sehemu zingine.
Nawaza hivi
Ndugu yenu pia hii ni December to Remember Mungu amenitendea.
Nawasihi msikate tamaa pambaneni.
Mkumbushe pia anaweza pata marks 50 na asiingie Oral interview [emoji817]Si kweli...si lazima ujibu vipengele vyote vya swali ili ufaulu usaili. Mfano swali linataka utaje vitu vitano (5). Maana yake hapo kila item katika hizo tano ina marks yake.
Ukiishia kutaja 3, basi utapigiwa hesabu ya items tatu. Then ukimaliza maswali yote watajumlisha umepata jumla ya marks ngapi?
Kama ukivuka marks hamsini kwa non teaching cadres...umetoboa.
Usimamizi unaenda TAMISEMI, ila hadhi ya shule inabaki vile vileKwahiyo Kibaha high school itakuwa kama shule nyingine tuu za serikali.
Sasa nani atazisimamia kama sio TAMISEMI. Hizo ni automatic zinaenda TAMISEMIDuh! Kazi zetu n za kufundisha na walisema sekondari zipo palepale, hakuna andiko la kuwa zimepelekwa Tamisemi
Kama hivi, Sema hii naona huwa inawaumiza sana wenetu, Mungu awape nguvu...........Mkumbushe pia anaweza pata marks 50 na asiingie Oral interview [emoji817]