Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ni kweli ulikosea kwenye anuani uliyoambiwa andika kama ilivyo
Usiweke maneno ambayo hayapo
MDA &LGA yamefuata nn hapo?
unayemuandikia barua ni katibu mkuu wa psrs na hayupo MDA & LGA
Anuani inaonesha ofisi ilipo, mkuu jitahidi kuandika kilichoandikwa usiweke utopolo mwingine ukiamini unaonesha ufundi wa uandishi😁😁

Ukipewa anuani we fanya ku copy and paste kama ilivyo pale kwenye Tangazo
Sasa hapo bado interview
 

Attachments

  • Screenshot_20240813-131638_2.jpg
    Screenshot_20240813-131638_2.jpg
    37.6 KB · Views: 7
Ni kweli ulikosea kwenye anuani uliyoambiwa andika kama ilivyo
Usiweke maneno ambayo hayapo
MDA &LGA yamefuata nn hapo?
unayemuandikia barua ni katibu mkuu wa psrs na hayupo MDA & LGA
Anuani inaonesha ofisi ilipo, mkuu jitahidi kuandika kilichoandikwa usiweke utopolo mwingine ukiamini unaonesha ufundi wa uandishi😁😁

Ukipewa anuani we fanya ku copy and paste kama ilivyo pale kwenye Tangazo
sawa sawa mkuu nimekupata, asante sana.😀
 
Msaada wakuu, anwani (picha ya kwanza) ya kazi za wiki iliyopita (MDAs & LGAs). Mimi niliandika hivyo (picha ya chini) lakini kuna mtu kaniambia nimekosea kwa kuongeza hiyo MDA & LGA, na Asha rose migiro building. Je Address naiandika kama ilivyo juu na siongezi chochote au?. View attachment 3068596View attachment 3068595
Address inatakiwa iwe simple tu.
 

Attachments

  • Address.png
    Address.png
    11.3 KB · Views: 7
Bunge ni muhimili unaojitegemea mkuu. Ndio maana kazi za mahakama haziji PSRS. Ukiona hivyo bunge limeipa PSRS kandarasi ya kuratibu mchakato wa ajira kwa niaba yake. In short PSRS ni serikali ni tofauti kabisa na ajira za bunge au mahakama.

Wewe umesema barua zote zinazopita PSRS zina address ya katibu. Mimi nimekwambia sio zote. Unaanza narratives 😁

So bora ungequalify statement yako ukasema barua zote za executive.

Kila siku ni fursa ya kujifunza kitu kipya kutoka kwa wengine
 
Msaada wakuu, anwani (picha ya kwanza) ya kazi za wiki iliyopita (MDAs & LGAs). Mimi niliandika hivyo (picha ya chini) lakini kuna mtu kaniambia nimekosea kwa kuongeza hiyo MDA & LGA, na Asha rose migiro building. Je Address naiandika kama ilivyo juu na siongezi chochote au?. View attachment 3068596View attachment 3068595
Hii ndio anwani sahihi.

Kwa kifupi inatakiwa ufuate maelekezo jinsi walivyoelekeza
Screenshot_20240813-162621.jpg
 
Mlioitwa kwenye Mkando wa mjengoni, nendeni mkapambane ipasavyo hadi kieleweke.

Usiache kwenda kwenye usahili wowote unapoitwa kama hauna sababu muhimu ya kukufanya usiende
Hivi ikitokea umefaulu usaili wa kazi zaidi ya moja kwa kipindi tofauti kulingana na tarehe za usaili inakuwaje mkuu
 
Wewe umesema barua zote zinazopita PSRS zina address ya katibu. Mimi nimekwambia sio zote. Unaanza narratives 😁

So bora ungequalify statement yako ukasema barua zote za executive.

Kila siku ni fursa ya kujifunza kitu kipya kutoka kwa wengine
Nimekupata vema. Haya twende tukaongeze received huku tukiombea mkeka utiki.
 
Hivi ikitokea umefaulu usaili wa kazi zaidi ya moja kwa kipindi tofauti kulingana na tarehe za usaili inakuwaje mkuu
Utapangiwa kituo cha kazi sehemu moja kati ya hizo ulizofaulu hasa ile ya mwanzo.

Baada ya kupata ile nyingine unawapisha wengine.
 
Back
Top Bottom