Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Issue ni kwamba kwenye oral watu wanaweza wakafeli pia .Hua Nashindwa kuelewa mnaposema khs matokeo ya kwenye web na app, kwan matokeo c n ya aina moja sasa kwann kuwe na utofauti kati ya web na app. Mfano umepata 70% c inatakiwa kuwa hvy kwenye web na app au?
Sasa kwa wabobovu wa usaili wanakwambia kwenye app ile ya play store uwa in a change baada ta usaili ila hii kada tuiache