Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Humu ndani kuna dingi alituambia Tamisemi wamewaambia utumishi wao hawana bajeti ya kuendeshea interview hivo watu tujiandae kupangiwa vituo vya kazi

Nikafurahi balaa naona jamaa wameuma meno hakuna kitonga lazima watu wakakandwe sijapenda ila sina namna
Utawala2025 mahali alipo sasa hv anatamani hata kujinyonga mana jamaa anaogopa Interview knoma 😂
 
Back
Top Bottom