Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwahyo sikuiz rasmi waalimu washaingia katika mfumo wa kufanyiwa interview??

Aisee hii nina uhakika litapunguza watu kukimbilia kusomea ualimu..
Walimu wengi wamekuwa sababu ni zifuatazo.

Karibia vyuo vyote nchini vinatoa Education
Zamani mkopo ulikuwa asilimia 100.
Kingine ndo kazi hata ukiwa na D mbili unasoma tofauti na course nyingine Hasa za afya.

Hivyo kuweka usaili kwa walimu sio kigezo kitakachofanya watu waache kusoma ualimu.

Punguza kuandika pumba
 
Walimu wengi wamekuwa sababu ni zifuatazo.

Karibia vyuo vyote nchini vinatoa Education
Zamani mkopo ulikuwa asilimia 100.
Kingine ndo kazi hata ukiwa na D mbili unasoma tofauti na course nyingine Hasa za afya.

Hivyo kuweka usaili kwa walimu sio kigezo kitakachofanya watu waache kusoma ualimu.

Punguza kuandika pumba

Walimu wengi wamekuwa sababu ni zifuatazo.

Karibia vyuo vyote nchini vinatoa Education
Zamani mkopo ulikuwa asilimia 100.
Kingine ndo kazi hata ukiwa na D mbili unasoma tofauti na course nyingine Hasa za afya.

Hivyo kuweka usaili kwa walimu sio kigezo kitakachofanya watu waache kusoma ualimu.

Punguza kuandika pumba

Ngojea nikuelekeze ndugu, mimi nakuelekeza bila kukutukana na wala kupanic kwa sababu akiri yangu iko matured..

Ni iv: mimi nilichokisema katka huo uzi ni moja ya sababu inayoweza pelekea na hata ww ulizozitoa hapo ni baadhi ya sababu zilizofanya watu wengi wasome ualimu ila kuna watu/ mtu kasoma ualimu bila hata izo sababu zako ulizo zi mention hapa hata moja kuchangia je unalijua ilo? So kwa mtu kama uyo nae aje aseme ww unaandika pumba kwakua yy aliamua kusoma ualimu na hakuna hata sababu yako moja iliyo mfanya akasome?

Mimi niliyosema ni moja kati ya vitu vilivyokua vinawavutia watu wengi kusomea ualimu.
 
Ngojea nikuelekeze ndugu, mimi nakuelekeza bila kukutukana na wala kupanic kwa sababu akiri yangu iko matured..

Ni iv: mimi nilichokisema katka huo uzi ni moja ya sababu inayoweza pelekea na hata ww ulizozitoa hapo ni baadhi ya sababu zilizofanya watu wengi wasome ualimu ila kuna watu/ mtu kasoma ualimu bila hata izo sababu zako ulizo zi mention hapa hata moja kuchangia je unalijua ilo? So kwa mtu kama uyo nae aje aseme ww unaandika pumba kwakua yy aliamua kusoma ualimu na hakuna hata sababu yako moja iliyo mfanya akasome?

Mimi niliyosema ni moja kati ya vitu vilivyokua vinawavutia watu wengi kusomea ualimu.
uko sawa kabisa
 
Ngojea nikuelekeze ndugu, mimi nakuelekeza bila kukutukana na wala kupanic kwa sababu akiri yangu iko matured..

Ni iv: mimi nilichokisema katka huo uzi ni moja ya sababu inayoweza pelekea na hata ww ulizozitoa hapo ni baadhi ya sababu zilizofanya watu wengi wasome ualimu ila kuna watu/ mtu kasoma ualimu bila hata izo sababu zako ulizo zi mention hapa hata moja kuchangia je unalijua ilo? So kwa mtu kama uyo nae aje aseme ww unaandika pumba kwakua yy aliamua kusoma ualimu na hakuna hata sababu yako moja iliyo mfanya akasome?

Mimi niliyosema ni moja kati ya vitu vilivyokua vinawavutia watu wengi kusomea ualimu.
So unataka kuniambia wewe kwa mawazo yako watu walikuwa wanasoma ualimu kwa kigezo cha ajira ya moja kwa moja si ndivyo

Mbona serikali ilikuwa inalalamika kuacha kazi wakipangiwa vituo vya kazi.
 
Alafu labda nisema iv, katika izo hoja atumtafuti ni nani atakua bingwa/mshindi ni kubadilisha mawazo na uzoefu na hata mtu ukiona kuna namna hoja au kitu flani akimo sawa ni kueleweshana tu.

Hapa hatuko katika mashindano tuko katika kupunguziana stress za mikando na kusubilia mikando mengine.😂😂😂
 
Watoe mikeka wasengeleaamaa hao wanakaa na Majina miezi na miezi.

Mwezi wa nane na Tisa mikeka haifiki mitano
Huu ndo ule mda ambao ulivyokua mtoto ulikua unapishana na mtu anaongea peke yake unamuona wa ajabu.. Sasa iki kipind ndo nawaelewa vizuri.( wanisameage tu kwa nilivyokua nawachukulia).
 
So unataka kuniambia wewe kwa mawazo yako watu walikuwa wanasoma ualimu kwa kigezo cha ajira ya moja kwa moja si ndivyo

Mbona serikali ilikuwa inalalamika kuacha kazi wakipangiwa vituo vya kazi.

100% kubwa ya sisi watz uwa tunasoma ili tuajiliwe na kwasababu elimu tunayoipata inatujengea misingi iyoo..
 
Huu ndo ule mda ambao ulivyokua mtoto ulikua unapishana na mtu anaongea peke yake unamuona wa ajabu.. Sasa iki kipind ndo nawaelewa vizuri.( wanisameage tu kwa nilivyokua nawachukulia).
Mimi nilitarajia katibu mpya alivyokuja na mikeka itatembea.
 
Ndugu wakandaji wa PSRS punguzeni hasira na jobless na sisi tuna familia zinatutegemea jamani. Sio kwa matokeo haya. Yaani mpo radhi asipate asali mtu yeyote. SIJAPENDA
Screen shot.jpg
 
Back
Top Bottom