El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
bila afya kimulimuli cha tanapa kingekua kinawakaIsingekua afya mbona tungeshatafutana humu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila afya kimulimuli cha tanapa kingekua kinawakaIsingekua afya mbona tungeshatafutana humu😂
Cha kuzugia zugia sio😁😁bila afya kimulimuli cha tanapa kingekua kinawaka
Na kwanini wanaita kidogo kidogo?Jina la uzi liongezwe liwe
"Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu usaili na kazini?"
Hii ndo mida ya ma-pdf ya nguvu. Hadi kufika kwenye saa tatu tatu za usiku hivi kuna watu watasahau ghafla adha waliyokutana nayo katika harakati za kusaka ajira kupitia mikando ya PSRS! Ni sawa na mjamzito kujifungua, utungu wote unatoweka ghafla mara baada ya kujifungua!Leo jioni admin anaachia pdf lingine. Safari hii ni reeeefuuu. Watu wa afya mtanenepa kwa raha msimu huu
Tupeni ushuhuda mlioenda kufuata barua vipi vituo ni mkoa ulikoomba au popote kambi?Hii ndo mida ya ma-pdf ya nguvu. Hadi kufika kwenye saa tatu tatu za usiku hivi kuna watu watasahau ghafla adha waliyokutana nayo katika harakati za kusaka ajira kupitia mikando ya PSRS! Ni sawa na mjamzito kujifungua, utungu wote unatoweka ghafla mara baada ya kujifungua!
Mkuu Utawala uko wapiTupeni ushuhuda mlioenda kufuata barua vipi vituo ni mkoa ulikoomba au popote kambi?
kuna jobless ana ushepuBaada ya dhiki faraja! Watu wanapokea barua zao baada ya kufanikiwa kupata ajira kupitia mikando ya PSRS
![]()
😂kuna jobless ana ushepu
Wakati wako unakaribiaDah 😭 wanataka degree afu Mm nna diploma
Polite jambo mzeeeTupeni ushuhuda mlioenda kufuata barua vipi vituo ni mkoa ulikoomba au popote kambi?
Huyo mwenye nyekundu sio jobless, labla kama umeona vibaya 😂kuna jobless ana ushepu
DAh kuna mwamba yeye kaenda leo kufuata barua anasema kapangiwa health centre labda kama ananipanga tuPolite jambo mzeee
Ila ni wizard ya afya mzeee hakuna shida maisha ni mkoani pale pale mjini 😃😃😃😃
Ni psrs mwenyeweHuyo mwenye nyekundu sio jobless, labla kama umeona vibaya 😂
nilitaka nishangae jobless apate ushepu kama huo kwa raha ganiHuyo mwenye nyekundu sio jobless, labla kama umeona vibaya 😂