Th3the
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 1,327
- 1,779
Admin wa utumishi anateswa na sononaUtumishi ni mashetwani sio watukufu wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Admin wa utumishi anateswa na sononaUtumishi ni mashetwani sio watukufu wakuu
GUsa achia twende kwenye usaili🤣Admin wa utumishi anateswa na sonona
Bila bila mzee .. mpk tunasahau tulichosomaGUsa achia twende kwenye usaili🤣
Hata ukikirudia hakiwez kukaa tenaaBila bila mzee .. mpk tunasahau tulichosoma
AloooAdmin wa utumishi anateswa na sonona
somo gani?kati ya ya walimu 5400 wamepita 400. hili sio panga ni shoka🤣🤣
kiingerezasomo gani?
Shoka butu😂kati ya ya walimu 5400 wamepita 400. hili sio panga ni shoka🤣🤣
dah nchi ina vituko hii sjawahi ona.hapo bado kuna mamilioni ya raia wanasubiri ushahili toka mwaka janaShoka butu😂
Jumamos kuna walimu wa biology wanaenda kufanya usaili 11000+ na wanataka walimu 500 tu ..hawa psrs hawawez kwepa lawamadah nchi ina vituko hii sjawahi ona.hapo bado kuna mamilioni ya raia wanasubiri ushahili toka mwaka jana
kwa hiyo hapo 10500 wanaelekezwa kibraJumamos kuna walimu wa biology wanaenda kufanya usaili 11000+ na wanataka walimu 500 tu ..hawa psrs hawawez kwepa lawama
Mapema tu.kwa hiyo hapo 10500 wanaelekezwa kibra
Wakome kufanya usaili wajipange utumishi sio lele mamakati ya ya walimu 5400 wamepita 400. hili sio panga ni shoka🤣🤣
Ajira zimetangazwa August..had leo hakuna interview..hii taasis imeelemewa sio bure
Mkuu lakini nazan hili waliliangalia vizuri unaweza ukataduta munual yao ukapata muongozoHii imekaaje wakuu yan unatangaza ajira za MDA&LGA unarudia tena ..mfano maafisa mifugo na madereva wametangaza tena wakati hata hawajamalizana na watu august. Sasa hapo si wangewajumlishia tu kwenye zile za mwezi wa nane.. au mimi ndio naona siko sawa .
Yan unatangaza vipi post ile ile wakati bado hata hujafanya usaili wa wale uliowatangaza mwanzo?
Au ni strategic za kutafuta sifa kuwa taasisi inatangaza nafasi nyingi kumbe wanarudia zilezile.
UchaguziHii imekaaje wakuu yan unatangaza ajira za MDA&LGA unarudia tena ..mfano maafisa mifugo na madereva wametangaza tena wakati hata hawajamalizana na watu august. Sasa hapo si wangewajumlishia tu kwenye zile za mwezi wa nane.. au mimi ndio naona siko sawa .
Yan unatangaza vipi post ile ile wakati bado hata hujafanya usaili wa wale uliowatangaza mwanzo?
Au ni strategic za kutafuta sifa kuwa taasisi inatangaza nafasi nyingi kumbe wanarudia zilezile.
Uko sahihi mimi TRA wanajua na wako seriously ndio maana wanapiga wenyeweNa ndio maana TRA wameamua wakomae wenyewe na mfumo wao..wangezipeleka Utumishi zile kazi zao wangeita interview mwaka 2026